Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wako mbinguni na wao wameona!
What a weekend.....
Arsenal jana kashinda....
Yanga leo kashinda.....
Real Madrid leo kashinda.....
Zambia kashinda na kuchukua AFCON....
Hakika Mungu ni mkubwa.......
19 years on the scene an n the coutry where therr plane crashed zambia have won AFCON .
WOOOOOOOOW
Nipo huku kwenye kozi ya kuwa mtangazji wa mtukio live kwa maandishi. Kesho Nitakuwa dodoma bungeni live..... lol
Mbona umepotea sana wewe . Mchucchu kakukataza ku-jf.......
Zambian have made it through penalt by 8-7 goals. Ivory got 7 penalties while zambia got 8
Kocha wa zambia kavaa shati lake jeupe ambalo anasema ni la bahati
Rev. Amini utabarikiwa. Wamepania watashindwa. Nitarudi hapa baada ya mchezo kwisha kukukumbusha kuwa majina hayachezi soka.