Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
- Thread starter
- #41
Mkuu Mag3
Ninaziangalia hoja zako kwa sura mbili
1 kukubaliana nawe:
Katika bandiko moja nyuma, tumeeleza Watanzania ni watu wa ajabu sana. Ni wepesiwa kusahau, wazuri wa kulalamika n.k.Miaka 50 na maumivu yote bado hawaoni tatizo. Wanaibiwa na pesa zinatumika kuwanunua bado hawaoni tatizo na hao wanaowaibia leo wanachukua fomu wakisindikizwa na waliobiwa
Ndipo tunakubaliana nawe kuwa Watanzania ni watu wa ajabu kwa hoja yako kuwa wanajua watashindwa lakini bado wapo tu katika uchaguzi. Ni kweli kuna ajabu Fulani
2 Tumeeleza pia , lazima wapinzani wawe na plan A1 (kutwaa dola) na A2( kumilikibunge) na si A na B.
Maana yahiini kuwa jitihada za plan A1 iwe imefanikiwa au la, zina impact katika plan A2.
Hii plan A2 ina sehemu mbili
Kwanza, kumiliki bunge kabisa, na pili kuzuia 2/3 ya CCM
Jambo hilo litasaidia kuweka ‘level filed' kwa siku zaijazo.Unafahamu CCM inamiliki vyombo vyote vya dola na Bunge.
Tunafahamu CCM haina nguvu kama chama chenye dola. Mbinu inayotumika ni wingi wa CCM ndani ya bunge kupitisha shaeria haramu kwa njia halali ya 2/3. Tuangalie mifano
1 Sheria ya mchakato wa katiba ilipitishwa na wabunge 100 ikawa halali si kwasababu ni halali bali ilijengewa uhalali na CCM majority iliyosaidiwa na vibaraka kama Mrema
2 Sheria ya mtandao na zingine nyingi zimetumia mfumo huohuo kushinikizwa.
Leo serikali inapeleka mswada wa kusikiliza habari za TBCikijua ina 2/3 majority
3. Bunge la katiba nalo lilitaka kutumia 2/3 kutupa katiba iliyoandikwa na mafisadi.
Bahati nzuri sana, wapinzani walitusikiliza wananchi tulipowataka watoke wasijenge uhalali wa kitu wanachojua kinapikwa.
Hapa kuna contradiction na hoja yako kuwa uchaguzi utahalalisha serikali ya CCM kuendelea na mabavu na ubabe.
Kuna sababu
a) Kutoka nje BMK kwa wapinzani kulisaidia sana 2/3 isipatikane.Mchakato umeahirishwa kwasababu hiyo, BVR inatumika tu kama kisingizio. CCMwanajua hawakuwa na 2/3 mbele ya uso wa dunia. Hili halikuwezekana bila sacrifice ya wapinzani
b) Kususia uchaguzi bado kutakuwa na uhalali ule ule wa vibaraka
c) Watanzania hawawezi kusimama kuhesabiwa kupinga uhuni.Ndivyo walivyo, na hapa tunaungana nawe, hatujui ni uzezeta au ni woga au ubinadamu uliopotiliza
Mkuu unakumbuka shinikizo la tume huru linavyozuiliwa na CCM na Bunge kwa kutumia sheria kama jambo halali?
Tukiangalia mfano wa Kenya tunaweza kujifunza. Kuna wakati(Keneth Marende) Bunge linamilikiwa na upande mmoja , upande mwingine niserikali.
Hilo liliwezesha kujenga mazingira ya kuzuia sheria za kihuni, kufuta sheria za kihuni na kuuweka uwanja sawa(level field) . Unaona hali ya kisiasailivyobadilika
Tumalizie kwa kusema, ngamia aliyepo ni mkubwa sana. Ilikukabiliana naye, kuwe na plan A1 na Plan A2.
Plan A2 inalenga kuvunja mgongo ili ngamia apige magoti kabla ya kummaliza.
Kama tulivyosema sote, Watanzania ni watu wa ajabu sana .Kuwabadilisha kwa ‘radical changes' is something next to impossible. Je,hatuwezi kufikiria ''passive changes' ambayo wanaweza kushiriki katika hali waliyo nayo?
Ninaziangalia hoja zako kwa sura mbili
1 kukubaliana nawe:
Katika bandiko moja nyuma, tumeeleza Watanzania ni watu wa ajabu sana. Ni wepesiwa kusahau, wazuri wa kulalamika n.k.Miaka 50 na maumivu yote bado hawaoni tatizo. Wanaibiwa na pesa zinatumika kuwanunua bado hawaoni tatizo na hao wanaowaibia leo wanachukua fomu wakisindikizwa na waliobiwa
Ndipo tunakubaliana nawe kuwa Watanzania ni watu wa ajabu kwa hoja yako kuwa wanajua watashindwa lakini bado wapo tu katika uchaguzi. Ni kweli kuna ajabu Fulani
2 Tumeeleza pia , lazima wapinzani wawe na plan A1 (kutwaa dola) na A2( kumilikibunge) na si A na B.
Maana yahiini kuwa jitihada za plan A1 iwe imefanikiwa au la, zina impact katika plan A2.
Hii plan A2 ina sehemu mbili
Kwanza, kumiliki bunge kabisa, na pili kuzuia 2/3 ya CCM
Jambo hilo litasaidia kuweka ‘level filed' kwa siku zaijazo.Unafahamu CCM inamiliki vyombo vyote vya dola na Bunge.
Tunafahamu CCM haina nguvu kama chama chenye dola. Mbinu inayotumika ni wingi wa CCM ndani ya bunge kupitisha shaeria haramu kwa njia halali ya 2/3. Tuangalie mifano
1 Sheria ya mchakato wa katiba ilipitishwa na wabunge 100 ikawa halali si kwasababu ni halali bali ilijengewa uhalali na CCM majority iliyosaidiwa na vibaraka kama Mrema
2 Sheria ya mtandao na zingine nyingi zimetumia mfumo huohuo kushinikizwa.
Leo serikali inapeleka mswada wa kusikiliza habari za TBCikijua ina 2/3 majority
3. Bunge la katiba nalo lilitaka kutumia 2/3 kutupa katiba iliyoandikwa na mafisadi.
Bahati nzuri sana, wapinzani walitusikiliza wananchi tulipowataka watoke wasijenge uhalali wa kitu wanachojua kinapikwa.
Hapa kuna contradiction na hoja yako kuwa uchaguzi utahalalisha serikali ya CCM kuendelea na mabavu na ubabe.
Kuna sababu
a) Kutoka nje BMK kwa wapinzani kulisaidia sana 2/3 isipatikane.Mchakato umeahirishwa kwasababu hiyo, BVR inatumika tu kama kisingizio. CCMwanajua hawakuwa na 2/3 mbele ya uso wa dunia. Hili halikuwezekana bila sacrifice ya wapinzani
b) Kususia uchaguzi bado kutakuwa na uhalali ule ule wa vibaraka
c) Watanzania hawawezi kusimama kuhesabiwa kupinga uhuni.Ndivyo walivyo, na hapa tunaungana nawe, hatujui ni uzezeta au ni woga au ubinadamu uliopotiliza
Mkuu unakumbuka shinikizo la tume huru linavyozuiliwa na CCM na Bunge kwa kutumia sheria kama jambo halali?
Tukiangalia mfano wa Kenya tunaweza kujifunza. Kuna wakati(Keneth Marende) Bunge linamilikiwa na upande mmoja , upande mwingine niserikali.
Hilo liliwezesha kujenga mazingira ya kuzuia sheria za kihuni, kufuta sheria za kihuni na kuuweka uwanja sawa(level field) . Unaona hali ya kisiasailivyobadilika
Tumalizie kwa kusema, ngamia aliyepo ni mkubwa sana. Ilikukabiliana naye, kuwe na plan A1 na Plan A2.
Plan A2 inalenga kuvunja mgongo ili ngamia apige magoti kabla ya kummaliza.
Kama tulivyosema sote, Watanzania ni watu wa ajabu sana .Kuwabadilisha kwa ‘radical changes' is something next to impossible. Je,hatuwezi kufikiria ''passive changes' ambayo wanaweza kushiriki katika hali waliyo nayo?