Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Wabunge wa upinzani hawajawai kua tofauti na CCM siku zote,ukikutana na waziri/mbunge ukimuuliza umefanya nini miaka mitano atakuambia nilikuta shule mbili,sasa hivi zipo ishirini,zahanati moja sasa hivi kila kata kuna zahanati,ukikutana na mbunge wa upinzani ukimuuliza amefanya nini, utasikia nilikuta shule moja,sasa hivi zipo kumi,rejea makala zilizokua zinatoka gazeti la mwananchi likihoji wabunge.
Rejea mshahara wa wabunge,umeshaona wabunge wa upinzani wakipaza sauti kugomea,au mafao(kiinuaa mgongo) juzi walichopandishiwa wabunge mbunge gani amelipinga hili,wanapiga kelele katika mambo ambao hata sisi Jamiiforums tunaandika na kusema na kusema.wabunge wote bila kujali CHAMA chochote,hawapo kwa ajili ya wananchi,afadhari ata sisi huku JF tunatetea maslai ya wananchi bila kupewa posho.
Nb.Wabunge wengi hawaitaki katiba Tume ya Warioba,sababu inaweka ukomo wa ubunge,kuwajibishwa na wananchi,kiwango cha elimu,hivi ni vikwazo kwao,walivyotoka bungeni ukawa sio sababu ya wananchi wala nini,kina Mbowe walijua hii itakua msumeno kwao,hawakua upande wa wananchi hata kidogo,walimuingiza chaka Lipumba ambae hafikilii kua Mbunge.
Kama kung'atuka katika vyama vyao vita watakubali kuachia ubunge kisa ukomo,ile plan ya kutoka si maslai ya wananchi,umeshawi kumsikia ikieleza kwa undani Rasimu ya pili ya katiba ya Warioba.
Wapiganaji wa kweli wapo JF maana wengi wetu tunanunua bando kwa fedha zetu,ili kuitetea Tanzania
Rejea mshahara wa wabunge,umeshaona wabunge wa upinzani wakipaza sauti kugomea,au mafao(kiinuaa mgongo) juzi walichopandishiwa wabunge mbunge gani amelipinga hili,wanapiga kelele katika mambo ambao hata sisi Jamiiforums tunaandika na kusema na kusema.wabunge wote bila kujali CHAMA chochote,hawapo kwa ajili ya wananchi,afadhari ata sisi huku JF tunatetea maslai ya wananchi bila kupewa posho.
Nb.Wabunge wengi hawaitaki katiba Tume ya Warioba,sababu inaweka ukomo wa ubunge,kuwajibishwa na wananchi,kiwango cha elimu,hivi ni vikwazo kwao,walivyotoka bungeni ukawa sio sababu ya wananchi wala nini,kina Mbowe walijua hii itakua msumeno kwao,hawakua upande wa wananchi hata kidogo,walimuingiza chaka Lipumba ambae hafikilii kua Mbunge.
Kama kung'atuka katika vyama vyao vita watakubali kuachia ubunge kisa ukomo,ile plan ya kutoka si maslai ya wananchi,umeshawi kumsikia ikieleza kwa undani Rasimu ya pili ya katiba ya Warioba.
Wapiganaji wa kweli wapo JF maana wengi wetu tunanunua bando kwa fedha zetu,ili kuitetea Tanzania