Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Mkuu Nguruvi3.ZeMarcopolo
Marekani inawatu milioni 300, wanaochukua fomu katika vyama vyote, hawazidi wagombe wa CCM.
Uingereza ina watu milioni 80. Wanaochukua fomu hawazidi idadi ya wagombea wa CCM.
Kwamba, Tanzania ina watu 45Milioni ina justify kuchukua fomu kwa mamia, haina mashiko.
Pili,wakatiwa Mwinyi waliochukua fomu hawakuzidi 10.
Wakati Kikwete anagombea hawakuzidi 10 kwa ccm,if memory serves me right
Miaka 10 iliyopita CCM ilikuwa na watu hawa, Dr Salim, SindeWarioba, CD, Msuya, JS Malecela.
Hawa walikuwa na sifa za uongozi kimaadili,kiuzoefu na kitaaluma.
Haina maana hakukuwepo na watu wenye nia, walikuwepo, suala ni kuwa, nani alijipima kupokea kijiti kutoka kwa Nyerere anayekaribia hao?
Katika vifaa hivyo vitano, hakuna aliyekuwa Rais. Hao ndio waliomchagua na kumsaidia Rais kwa kutumia busara zao.
Mwinyi alichaguliwa kwa mtazamo wa busara tukijua alikuwa makamu na suala zima la muungano
Kinachotokea sasa hivi, kwanza, ni udhaifu wa uongozi.
Wanaojitokeza ni wasaidizi wakuu wa Rais aliyepo na ndio wanatuletea kauli mbiuy a rushwa na ufisadi.
Maana yake wanauona udhaifu uliopo. Wengine wanasema elimu au kilimo kwanza. Wanachokifanya ni ku explore weakness ya kiongozi waliomsaidia.
Kila mmoja anaona angeweza kufanya vizuri zaidi. Ni udhaifu tu.
Kundi lingine linatafuta umaarufu. Tumeeleza huko nyuma,Kuga Mziray alihutubia viti.
BMLK alikuwepo kama mpinzani kwasababu uwepo wake ulishaonekana. Hawa wa CCM wanatafuta nafasi tu.
Hoja kuwa ni kupanuka kwa demokrasia ni kweli kwasababu demokrasia ni kitu cha ajabu kidogo.
Inaweza kukupa matokeo mazuri au mabaya.
DemokrasiA ilimtengeneza Lady Thatcher miaka 11ikamuondoa kwa aibu siku moja.
Demokrasis ilimtengeneza Ronald Regan akajenga uchumi waMarekani, ikamleta G.Bush , recession ikaingia
Kupanuka kwa demokrasia kumetupatia Kibajaji wa Dodoma na kupitia kwake tumepata wazo la kuondoa picha za wanyama,' thamani ya pesa yetu ipande''
Bandiko linalofuata tutakuonyesha udhaifu wa uongozi wa CCM unaoleta wingu la watia nia.
Jinsi EL anavyoiyumbisha CCM bila sababu za msingina na jinsi CCM inavyomugopa
Tusemezane
Kuweka kumbukumbu sawa unasema watia nia wa Marekani kugombea urais wanazidiwa na wa CCM siyo kweli. Tuangalie kiduchu orodha ya watia nia wa Marekani wa vyama vikubwa viwili.
OTHER REPUBLICANS😛ogo Mochello Allen-Reese (Texas)John Anderson Jr. (California)-Skip Andrews (Kansas)Ray Antley Jr. (North Carolina)-George Bailey Jr. (Mississippi)Michael Baldwin (Missouri)-Danielle Berhane (Arizona)-Michael Bickelmeyer (Ohio)-Virgil Bierschwale (Texas)John Bizga (New Jersey)-Tony Bonificia Jr. (New York)-Kerry Bowers (Nevada)Dominique Brown (Pennsylvania)George Brucato (Nevada)-Gary Caissie (Oklahoma)-Francis Castleberry (Florida)Dale Christensen (Missouri)-Brian Ari Cole (Pennsylvania)-Scott Cole (North Carolina)Melody Crombie (Maryland)-Ezekiel George Crotzer (Michigan)Brooks Cullison (Illinois)Tim Day (Texas)-Paul DeBow (Louisiana)-Paul Delong (Pennsylvania)-Mike Diggs (Arkansas)Kenneth Donaldson (Texas)-Patrick Drake (Georgia)-Wanda Duckwald (Oklahoma)-Douglas Duke (Alabama)-Ronald Duke (Alabama)-John Dummett Jr. (California)Nicholas Evans (Oklahoma)-Stuart Farber (Florida)Jack Fellure (West Virginia)Bruce Gidner (Michigan)-Jim Hayden (Tennessee)Eugene Hunt Jr. (Michigan)-Justin Hyde (California)-Kins Jeroboan (New York)Roger Jewell (Arizona)D. Royce Jones (Texas)Tyrone Julius (District of Columbia)-Brenda Justice (New York)-Tim Kalemkarian (California)Marc Keller (Oregon)-Michael Kinlaw (Colorado)-John Lee (Texas)-Jerry Leonard (North Carolina)-Renee Loetscher (Florida)-Aurora Lopez (Washington)-Bartholomew James Lower (Michigan)-Dennis Michael Lynch (New York)Joan Malone (District of Columbia)Barbara Mae Markovich (Montana)-Mike Martisko (Pennsylvania)Mickey Meade (California)-Raymond Miller (Idaho)Tiffani Mims (Texas)James Mitchell Jr. (Illinois)Timothy Moore (Washington)K. Ross Newland (Illinois)Scot Olewine (Puerto Rico)Richard Peter (Texas)-Michael Petyo (Indiana)Deshon Porter (Illinois)Kenny Rodeo (Colorado)-Jim Rundberg (Colorado)Brian Russell (Florida)-Douglas Sabbag (Florida)-Ole Savior (Minnesota)-Larry Scarborough (California)-Jefferson Sherman (Maryland)Mark Sleggs (New York)-Jeffrey Smith (Florida)-Silvia Stagg (New York)Shawna Sterling (Kentucky)Joseph Stetson (South Carolina)-Sherlene Stevens (District of Columbia)Rickey "Joe" Story (Florida)Michael Szczepanski New York)-Dwayne Tomlinson (Florida)Vern Wuensche (Texas)-Kaye Wyman (North Carolina).
Wengine hawa hapa...
OTHER DEMOCRATS:Brandon Armstrong (South Carolina)Warren Ashe (Florida)Howell Astor (North Carolina)-Edie Atkinson-Bukewihge (California)James Bell (Ohio)-John Blyth (Illinois)Morrison Bonpasse (Maine)Meridi Richardson Bosley (Arizona)Jeff Boss (New Jersey)-Philip Bralich (California)-Harry Braun (Georgia)-Arthur Brooks Jr. (Texas)President Emperor Caesar (Florida)-Andy Caffrey (California)Willie Carter (Texas)Brittany Clark (California)Richard Coleman (Florida)-Kristi Dutton (Arizona)-Larry Ealy (Ohio)Ronald Emrit (Nevada)-Nicholas Erwin (North Carolina)-John Forsyth (Maine)-Susan Gelber Ott (Virginia)-Gabriel Gomez (Georgia)-Christin Noel Griskie (Florida)-Gerald Hankins (Pennsylvania)-Charles Hodge (California)-Larry E. Johnson (Colorado)Gayle Jones-Taylor (California)-Glenn Kaminsky (California)Mohammed Keita (New York)-Lloyd Kelso (North Carolina)-Jonathan Lavigne (West Virginia)-James "Titus The Great" Law ( California)Matthew Linder (California)-Ryan Lipner (Florida)-L.R. "Skip" Maul Jr. (Arizona)-Limberbutt McCubbins (Kentucky)-Michael McMenemy (Pennsylvania)-Lee Mercer Jr. (Tennessee)Daniel "Tool" Michaels (Florida)-Loretta "Leah Lax" Miller (Pennsylvania)-David Mills (West Virginia)-Rome Murphy II (New Jersey)-James Ogle III (California)Daniel Owens (Oregon)-Harry Pavilack (South Carolina)-Margie Penn (Tennessee)-Mary Aku Quartey (Maryland)-John Raffone (Florida)-Lee Rhodes (New York)Doug Schreffler (California)-Will Schroeder (Illinois)-Angelo Scrigna (Hawaii)-Jerome Singleton Jr. (Louisiana)-Nicholas Sopkovich (California)Michael Steinberg (Florida)Ray Uhric (Pennsylvania)John Walsh III (Pennsylvania)Richard Weil (Colorado)Robby Wells (North Carolina)Elaine Williams (Florida)Willie Wilson (Illinois)Jeffrey Windett (West Virginia)-Brad Winslow (California)-Thomas Winterbottom (Pennsylvania)John Worldpeace (New Mexico).
Ahsante....Tusemezane.
Last edited by a moderator: