2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Amunike nae ovyo. Unamuwekaje nje mchezaji wa black pool?
 
Punguza tumbo kwanza ndiyo utaelewa nani aliyeanza siasa
Kwa Hyo Kusema Kule Ndio Kumewafanya Wafungwe, Wachezaji Wenu, Hawana mawasiliano, Hawapeleki mpira mbele, Wanapiga chenga hawawezi. Mtu anakokota mpira mpaka anaporwa. Wanasubiri mpira uwafikie hawafati halafu lawama Ccm, Pumbavu Zenu
 
Na ndo maana walio wengi wanaiombea kipigo
 
Kwa Hyo Kusema Kule Ndio Kumewafanya Wafungwe, Wachezaji Wenu, Hawana mawasiliano, Hawapeleki mpira mbele, Wanapiga chenga hawawezi. Mtu anakokota mpira mpaka anaporwa. Wanasubiri mpira uwafikie hawafati halafu lawama Ccm, Pumbavu Zenu
hivi wewe unaweza kufanya kazi vizuri huku bosi kakudhulumu mshahara au unajiropokea tu
 
CCM,CDM NA CUF hapo zinaingiaje labda mngesema ACT wazalendo kidogo ningeelewa mana Zito kidogo mambo ya soka anayajua
 
Kati ya mchezaji ambaye sijawahi kumuamin ni Boko.
Kama ni mfuatiliaji wa mpira Bocco si mchezaji anaetumia miguvu ni akili zaidi, uchezaji wake huonekana na anapokuwa na viungo wazuri na si wazuri tu wataofanya apate mipira mara kwa mara! Tofauti na hapo Bocco utamuweka level moja na kina Salamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…