2019 Africa Cup of Nations Special Thread

Kama mechi za Kesho wenzake hawatafungwa nyingi.
Maana yeye ana mabao 7 kwasasa.
Benin anacheza.
South Africa yeye kamaliza na Morocco kapigwa 1 tu.
MCongo naye aloshinda...asubiri Mbenin kesho.

Una supprt mwafrika mashariki yupi kwa sasa
Kenya or Uganda ?
 
10000% Cameroon hana mpira wowote sasa hivi huyu hata akikutana na Madagascar anagongwa nne au tano wakikaza sana ni draw japo siamini katika hili.

Benin wana njaa mno
Huwa sikosei kudadadeki
 
Angola anapigwa, afe kipa afe beki wanacheza mpira wa kujilinda sana sasa huu mchezo ni hatari unapokutana na wachezaji wenye kasi na skills za hali ya juu kama Mali.
Hahahaha hatari fire hizi mambo kuzijua raha sana
 
Kenya bye bye. Benin wamezima ndoto za majirani kuingia kwenye best losers. Goaldifference imeawaondoa. Bye bye majirani.
Natumia nafasi hii kuwashukuru Benin kwa kutimiza ndoto zangu
 
With the #AFCON2019 group stage wrapped up, here’s the round of 16 lineup:

Uganda [emoji1254] v Senegal [emoji1211]
Morocco [emoji1173] v Benin [emoji1047]
Egypt [emoji1093] v South Africa [emoji1221]
Nigeria [emoji1184] v Cameroon [emoji1062]
Madagascar [emoji1155] v DR Congo [emoji1078]
Algeria [emoji1026] v Guinea [emoji1119]
Mali [emoji1159] v Ivory Coast [emoji1081]
Ghana [emoji1110] v Tunisia [emoji1249]
 
Mkeka wangu umechanika kipande kimoja.

Naweka mwingine hapa kuelekea Robo fainali.View attachment 1145178
Zahera anamuaibisha Madagascar jana nilikuwa namsikia Rais wao Felix Tshisekedi akiongea na kocha mkuu akiwapongeza kawaahidi mifedha mingi.

Alafu Tunisia nina wasiwasi mkubwa anamchapa Ghana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…