DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Kama mechi za Kesho wenzake hawatafungwa nyingi.
Maana yeye ana mabao 7 kwasasa.
Benin anacheza.
South Africa yeye kamaliza na Morocco kapigwa 1 tu.
MCongo naye aloshinda...asubiri Mbenin kesho.
Una supprt mwafrika mashariki yupi kwa sasa
Kenya or Uganda ?