Mbona siwaoni taifa star wakuu kwani walishatolewa
Ccm stars 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aibu, Siku ming walishatolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona siwaoni taifa star wakuu kwani walishatolewa
Hizi mechi za nusu fainali zitakua zakukamiana Sana hasa hawa Algeria na Nigeria maana pesa aliyoahidi Dangote si mchezo lazima Nigeria akamie.
Algeria na Tunis wanapita. Algeria bingwa mark my words mkuu.
Hawezi kuhama chama langu algeria.
Kaahidi ngapi?Hizi mechi za nusu fainali zitakua zakukamiana Sana hasa hawa Algeria na Nigeria maana pesa aliyoahidi Dangote si mchezo lazima Nigeria akamie.
Mechi zinaanza saa ngapi mkuu
Ok, ipi mechi inatangulia?Kama kawaida saa moja jion yaani 1900hrs EAT
Ok, ipi mechi inatangulia?
Nimefika mbele ya screen hapa ngoja tuone mbabe wa leoSenegal vs Tunisia mkuu