2019 na 2020 ndipo tulipojikwaa vibaya sana, "bwana yule" aliuvuruga na kutukoroga

2019 na 2020 ndipo tulipojikwaa vibaya sana, "bwana yule" aliuvuruga na kutukoroga

Watu wenye fikra za kipumbafu kama wewe ndiyo mnasababisha haya matukio yaendelee...

Mnataka kusema Samia ameshindwa kumaliza hili tatizo?

Magufuli alianzisha task force ya TRA, bado ipo?

Mbona mnataka kutuonesha kama Samia ni dhaifu sana!

Sasa aliweza TRA, mnaamini hawezi kuwaondoa hawa watekaji?
Ofcoz ni dhaifu mkuu. Wala hakuna mjadala kuhusu Hilo .
 
Visingizio hivi
Wakati mama Samia anaingia alianzisha kikosi kazi ambacho waliwekwa wanasiasa wote na kupeleka maoni na vikao kila Mara ikulu, akaanzisha 4R , akatengua wale wote mliowalalamikia, mkasifu mkasema mambo ndio haya, barabarani mkajaza mabango mama msikivu anaupiga mwingi, siasa Safi na kila kitu kimewekwa na kuimbwa

Leo mmekwama mnarudi tena kusema nini? Acheni kuwa vipofu
Mkuu usiumize kichwa kwa Hawa wapumbavuu wadumavu wa akili.

Kila mtu anajua serikali ya Samia ilifuta mambo mengi yalioachwa na Magufuli iliyoyaona hayana manufaa au hayana maana, na ilikuwa Ina uwezo wa ku cleanse serikali nzima mpaka Bunge yaani tukachagua wabunge wapya!...Yes, huo uwezo Samia alikuwa nao kama angetaka.

Kitendo Cha Samia kuendelea kunufaika na uozo ulioachwa na Magufuli ilihali anaweza kuufuta uozo huo, tafsiri yake ni kwamba hata yeye angeweza kuwa muanzilishi wa uozo... Kwa vile wengi hapa akili zao ni dunia hawawezi kuona hili.

Magufuli hayupo, lakini CCM Bado ipo na mambo mengi ya ovyo yanayoendelea leo hii hayajaanza leo hii Wala kwa Magufuli.....

Kama ni kuvuruga uchaguzi tumeshuudia tangu mwaka 2000 walichofanyiwa CUF na serikali ya Mkapa, kama ni utekaji tumewaona walichofanyiwa akina dkt. Ulimboka kipindi Cha Kikwete, kama ni rushwa, ufisadi na wizi ni utamaduni uliokomaa ambao Wengi tumezaliwa tumeukuta.

Kwa hiyo kumbe hapa issue sio Fulani Wala nani, issue hapa ni wanainchi wenyewe

Kuendelea kulaumu wafu kwamba wao ndio waanzilishi wa hiki na hiki Kwa suala ambalo liko ndani ya uwezo wenu wanainchi wenyewe ni uwendowazimu wa Hali ya juu kabisa na kwa namna nyingine ni kutoa freedom of accountability kwa serikali iliyopo madarakani.

Binafsi Mimi hili taifa huwa naliona ni la wendowazimu, yaani raia wake hawana akili timamu na uthibitusho ni pamoja na mada kama hii.
 
Tukiangalia tulipojikwaa mwaka 2019 na 2020 ni hakika Bwana yule alivuruga kila kitu, haya mengine yote yaliyotokea baadaye na yanayoendelea kutokea ni matokeo tu uvurugaji wa 2019-2020.

Lilikuwa jambo ovu sana kuonyesha machaguzi na maamuzi ya raia walio wengi katika kupata wawakilishi wao hayana maana na yanaweza kupuuzwa bila consequences zozote. Jenga utakavyoweza kujenga lakini msingi muhimu kuliko wote wa taifa bora ni jinsi gani raia wanavyojiongoza kwa maamuzi yao ya wenyewe ya kidemokrasia yanayoheshimiwa na wote.
Ndo mana siku zote nasema lile lilikuwa ni Shetani halisi
 
Matatizo yalianza Mbowe alipomchukua Lowassa na kumkata Dr Slaa

Kitendo cha Mbowe kumchukua Lowassa aliyekatwa na JK kitaendelea kuigharimu Chadema hadi Ritz atakapostaafu Urais 2040 😀
Jiwe alikua mtu mbaya sana kwa maendeleo ya demokrasia ya vyama vingi nchini Tanzania.
 
kama ni utekaji tumewaona walichofanyiwa akina dkt. Ulimboka kipindi Cha Kikwete,
Unaweza kunitajia watu watano(5) waliotekwa wakati wa JK?
Unaweza kunitajia watu waliopotea na hawakuonekena tena wakati wa JK??
 
We ndio una mimba jinsi unavyomhusudu, mfuate mzalie mwanae kule aliko. Msukuma ni mshamba tu ht asome. Haitatokea mshamba aongoze tena nchi hii
Wewe uliyekubali kupewa mimba na mshamba ni mshamba zaidi na huo uchi wako
 
Kama ni kuvuruga uchaguzi tumeshuudia tangu mwaka 2000 walichofanyiwa CUF na serikali ya Mkapa,
Wakati wa Ben na JK angalau watu walikuwa wanaweza kupata hata nafasi ya kushiriki kugombea, ikifika wakati wa kutangaza matokeo ndio mtiti unaanza, wapinzani walioweza kukomaa na watangaza matokeo baadhi angalau waliambulia chochote, Huwezi kufananisha na kipindi ambacho wagombea hata kuingia tu kwenye nafasi za kugombea ni kivumbi na jasho.
 
Jipu ni ccm hayo makando kando ni vipele vidogo tu.
 
Unaweza kunitajia watu watano(5) waliotekwa wakati wa JK?
Unaweza kunitajia watu waliopotea na hawakuonekena tena wakati wa JK??
Unataka nikutajie watu waliopotea ambao wewe unawafahamu au nikutajie watu waliopotea ambao Mimi Nina taarifa na hawaonekana mpaka leo????

Halafu kumbe kinacholinganishwa hapa ni idadi ya watu waliopotea kipindi Cha awamu zilizopita na awamu ya Magufuli na Wala sio usalama wa watu in general??

Yaani unachotaka kuimply hapa ni kwamba kwenye awamu ambayo idadi ya watu waliopotea walikuwa ni wachache hiyo ni awamu Bora na salama so ndio maanake???

Wewe akili yako ni ya kipuuzi sana na ndio maana huko hapa unashusha lawama kwa mfu, badala ya kuchukua hatua mjinga wewe.
 
Wakati wa Ben na JK angalau watu walikuwa wanaweza kupata hata nafasi ya kushiriki kugombea, ikifika wakati wa kutangaza matokeo ndio mtiti unaanza, wapinzani walioweza kukomaa na watangaza matokeo baadhi angalau waliambulia chochote, Huwezi kufananisha na kipindi ambacho wagombea hata kuingia tu kwenye nafasi za kugombea ni kivumbi na jasho.
So conclusively hapa unatwambia kuwa CCM Haina tatizo Bali tatizo ni aliyekalia hicho kiti cha CCM si ndio???
 
Back
Top Bottom