Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ishindikane wakati wananchi wanamkubali JPM kwa 100%
Huwa wanajitoa akili sana hawa Mkuu Erythrocyte ,wanadhani maendeleo yatapatikana kwa kutesa na kumaliza Wapinzani..Umemkomesha hasa !
Wananchi wawapende watekaji na wauaji, halafu wawachague we mzima kweli.Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Diaspora, au?Siungekunya hata chai bila maziwa kaa hungepata maziwa ndio hii bangi ulivuta kabla ya kuadika hii uchafu hapa ingefanya akili yako angalau iweze kufanya kazi kidogo, najua uchumi ni baya sana lakini kila ukivuta bangi kunywa maziwa , itakusaidia sana tena sana
Hii habari ina ukweli fulani hivi...kama waliweza kwa goli la mkono....je kwa mtutu wa bunduki si majimbo yote yanabebwa tu....labda lile moja alilosema Polepole hata sijui alimaanisha jimbo la nani.Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Hivi kumbe mtu anamchaguwa Lusinde Livingstone kwa sababu Magufuli anafanya vizuri?Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Hivi ndivyo unavyoweza kupima IQ za watu hapa JF, kwa mtazamo wake yeye anadhani wabunge wote wakitoka ccm ndio kufanikiwa sana kwa taifa hili, Aiseeee!!!! bado tuna safari ndefu sana.
Kwa hiyo Magu anagombea ubunge majimbo yote? Una ubongo au kibuyu?Kwanini ishindikane wakati wananchi wanamkubali JPM kwa 100%
Sasa mbona anaogopa mikutano namna hii?Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Hata mie naona kwa aina ya watendaji wa Tume,wakurugenzi na polisi hilo unalolisema linawezekana kabisa maana ni tumejionea chaguzi za marudio ilivyokuwaHabarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Ndo tatizo la ajira litaisha? Umaskin utaisha? Wanunuz wa ko ro sho watakuja?
98% CCMHabarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
A stupid doesn't deserve any respectMamaake ndo amepost hapa? jaribu kuwa na staha basi hata kidogo
Kwani wewe umemjibu kwa staha?Mamaake ndo amepost hapa? jaribu kuwa na staha basi hata kidogo
Nyote mumekosa adabu na heshima, Mama wote ni wakuaheshimiwa, sio wakutumiwa kama njia za kudhalilishana.Vijana wa Chadema lini wamekuwa na staha?
Hawa si wameokotwa Barabarani,umuhimu wa Mama ataujulia wap?
Elimu Elimu Elimu,Nyie Mazero Brain ndio mitaji ya CCM,Mijitu inayodanganywa na tamthilia za Director Bashite na Baba yake.Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele