Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Mnatuvurugia ili Jukwaa aiseeKwanini ishindikane wakati wananchi wanamkubali JPM kwa 100%
Mmmmu.. ACT 14% CHADEMA 25% CCM 61% Tatizo UKAWA aupo Tena.Siungekunya hata chai bila maziwa kaa hungepata maziwa ndio hii bangi ulivuta kabla ya kuadika hii uchafu hapa ingefanya akili yako angalau iweze kufanya kazi kidogo, najua uchumi ni baya sana lakini kila ukivuta bangi kunywa maziwa , itakusaidia sana tena sana
Labda wasukuma wa Chato, uchaguzi ukifanyika kihalali huyo mgombea wenu atashindwa mapema sana, hakubaliki kwa vijana, wakulima, wafanyakazi, wafanyabiashara labda wakoromije wa Chato.Kwanini ishindikane wakati wananchi wanamkubali JPM kwa 100%
endelea kujipa moyoHabarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
UKIFANYA UPUMBAVU FLANI HAPA DUNIANI LAANA ITAKULA HADI KIZAZI CHAKO CHA TATU, KAMA NI HIVYO KWANI HAO WATOTO NA WAJUKUU WALIHUSIKA KWENYE UHALIFU? UKIZAA MTOTO MSTAARABU UTAPATA SIFA NA UKIZAA CHIZI KAMA MLETA UZI MATUSI NI SAHEMU YA ZAWADI ANAZO STAHILI IKIWEMO KUSOMWA JICHO,Mamaake ndo amepost hapa? jaribu kuwa na staha basi hata kidogo
Mkuu Huko Kwenu Vipi, kwanza naunga mkono hoja, pili angalau wewe hili ndio leo unaliona,Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Ndo umetumwa kupima upepo au sio?Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Subili uone .Hakuna ubabe wananchi wametambua kuwa CCM ndo chama pekee kitakachowaletea maendeleo
Au revoirHabarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Mleta Uzi sasa hata ikitokea hivyo kwa ujinga na uzuzuzu wako unaona in sawa? Watu kama nyie in was kuhurumia.Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Mkuu Huko Kwenu Vipi, kwanza naunga mkono hoja, pili angalau wewe hili ndio leo unaliona,
Angalia tarehe ya mabandiko haya uangalie sie wenzio tuliona lini na tukasema humu. Wenzetu wengi japo kwa sasa wanakubeza hapa, lakini hili ni ukweli mtupu na ukweli halisi ambao wao watauona baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020!.
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Mnaombeza mtoa mada endeleeni tuu kubeza ila ukweli wa matokeo ndio utawafungua macho.Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
P
Amen, presuming this Dawaamulhaal minalmuhaal ni dua fulani.Dawaamulhaal minalmuhaal
Naamini hivyo 100%Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Ndugu Pascal, ninakygeshimu sana na posti zako hazinipiti, lakini sasa unaanza kujivunjia heshima na msimamo.Mkuu Huko Kwenu Vipi, kwanza naunga mkono hoja, pili angalau wewe hili ndio leo unaliona,
Angalia tarehe ya mabandiko haya uangalie sie wenzio tuliona lini na tukasema humu. Wenzetu wengi japo kwa sasa wanakubeza hapa, lakini hili ni ukweli mtupu na ukweli halisi ambao wao watauona baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020!.
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Mnaombeza mtoa mada endeleeni tuu kubeza ila ukweli wa matokeo ndio utawafungua macho.Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
P