Uchaguzi 2020 2020 hatutakuwa na Mbunge hata mmoja wa upinzani ni kijani tu

Uchaguzi 2020 2020 hatutakuwa na Mbunge hata mmoja wa upinzani ni kijani tu

Wenye akili hujiiliza kama baada ya uchaguzi ujao watakuwa bora kuliko sasa. Japo sijui nani atapata wabunge wangapi, najiuliza wabunge wa upinzani wamezuia jambo gani kufanyika na wakafanikiwa na wakiondoka jambo hilo litafanikiwa!!
 
Kazi ipi anafanya zaidi ya kuwa shiwaladu na kudukua simu za mawaziri wake,wewe lazima una mwili na akili kama lemutuz
Habarini wanajamvi....

Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,

Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
 
Siungekunya hata chai bila maziwa kaa hungepata maziwa ndio hii bangi ulivuta kabla ya kuadika hii uchafu hapa ingefanya akili yako angalau iweze kufanya kazi kidogo, najua uchumi ni baya sana lakini kila ukivuta bangi kunywa maziwa , itakusaidia sana tena sana
Mmmmu.. ACT 14% CHADEMA 25% CCM 61% Tatizo UKAWA aupo Tena.
 
Hizi kauli zinarudiwa sana, kwa nn msiwaachie wananchi wakaamua wenyewe? Maana mmezuia wapinzani wote kufanya mikutano mmebaki wenyewe tu kufanya mikutano.wakifanya wapinzani mnawaitia polis. Demokrasia Ni kuruhusu wanasiasa wajitangaze kwa umma mwisho wa Siku umma utaamua.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kwanini ishindikane wakati wananchi wanamkubali JPM kwa 100%
Labda wasukuma wa Chato, uchaguzi ukifanyika kihalali huyo mgombea wenu atashindwa mapema sana, hakubaliki kwa vijana, wakulima, wafanyakazi, wafanyabiashara labda wakoromije wa Chato.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Habarini wanajamvi....

Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,

Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
endelea kujipa moyo
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mamaake ndo amepost hapa? jaribu kuwa na staha basi hata kidogo
UKIFANYA UPUMBAVU FLANI HAPA DUNIANI LAANA ITAKULA HADI KIZAZI CHAKO CHA TATU, KAMA NI HIVYO KWANI HAO WATOTO NA WAJUKUU WALIHUSIKA KWENYE UHALIFU? UKIZAA MTOTO MSTAARABU UTAPATA SIFA NA UKIZAA CHIZI KAMA MLETA UZI MATUSI NI SAHEMU YA ZAWADI ANAZO STAHILI IKIWEMO KUSOMWA JICHO,
 
Habarini wanajamvi....

Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,

Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Mkuu Huko Kwenu Vipi, kwanza naunga mkono hoja, pili angalau wewe hili ndio leo unaliona,
Angalia tarehe ya mabandiko haya uangalie sie wenzio tuliona lini na tukasema humu. Wenzetu wengi japo kwa sasa wanakubeza hapa, lakini hili ni ukweli mtupu na ukweli halisi ambao wao watauona baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020!.

Mnaombeza mtoa mada endeleeni tuu kubeza ila ukweli wa matokeo ndio utawafungua macho.
P
 
  • Thanks
Reactions: prs
Habarini wanajamvi....

Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,

Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Ndo umetumwa kupima upepo au sio?
 
Habarini wanajamvi....

Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,

Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Au revoir
IMG_20190907_054830.jpeg
 
Habarini wanajamvi....

Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,

Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Mleta Uzi sasa hata ikitokea hivyo kwa ujinga na uzuzuzu wako unaona in sawa? Watu kama nyie in was kuhurumia.
 
Dawaamulhaal minalmuhaal
Mkuu Huko Kwenu Vipi, kwanza naunga mkono hoja, pili angalau wewe hili ndio leo unaliona,
Angalia tarehe ya mabandiko haya uangalie sie wenzio tuliona lini na tukasema humu. Wenzetu wengi japo kwa sasa wanakubeza hapa, lakini hili ni ukweli mtupu na ukweli halisi ambao wao watauona baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020!.

Mnaombeza mtoa mada endeleeni tuu kubeza ila ukweli wa matokeo ndio utawafungua macho.
P
 
Habarini wanajamvi....

Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,

Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Naamini hivyo 100%
 
Mkuu Huko Kwenu Vipi, kwanza naunga mkono hoja, pili angalau wewe hili ndio leo unaliona,
Angalia tarehe ya mabandiko haya uangalie sie wenzio tuliona lini na tukasema humu. Wenzetu wengi japo kwa sasa wanakubeza hapa, lakini hili ni ukweli mtupu na ukweli halisi ambao wao watauona baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020!.

Mnaombeza mtoa mada endeleeni tuu kubeza ila ukweli wa matokeo ndio utawafungua macho.
P
Ndugu Pascal, ninakygeshimu sana na posti zako hazinipiti, lakini sasa unaanza kujivunjia heshima na msimamo.

Ndugu kupata nyadhifa kwa kujikomba ama kuwa A LAP DOG wa mwanasiasa ni kujidhalilisha na utaharibu maisha yako.

Ili hilo litokea wabunge wote wawe wa chama chetu, inamaanisha tutaiba kura kwa nguvu yote tena bila haya wala kupepesa macho.

Kuna juhudi nyingi za Raisi zinaungika mkono lakini nyengine haziungiki. Jee do we have the true results of these projects ama ni mijisifa ya kujisifu wenyewe.

Serekali yetu pia imeanza kuja na siasa za ubaguzi wa kidini, ukanda na Nepotism.

Tuwache kujisifia na uwizi tutakao ufanya na mabavu tutakayo tumia kuiba ushindi wa kishindo.
 
Back
Top Bottom