Uchaguzi 2020 2020 hatutakuwa na Mbunge hata mmoja wa upinzani ni kijani tu

Uchaguzi 2020 2020 hatutakuwa na Mbunge hata mmoja wa upinzani ni kijani tu

Ndugu Pascal, ninakygeshimu sana na posti zako hazinipiti, lakini sasa unaanza kujivunjia heshima na msimamo.

Ndugu kupata nyadhifa kwa kujikomba ama kuwa A LAP DOG wa mwanasiasa ni kujidhalilisha na utaharibu maisha yako.

Ili hilo litokea wabunge wote wawe wa chama chetu, inamaanisha tutaiba kura kwa nguvu yote tena bila haya wala kupepesa macho.

Kuna juhudi nyingi za Raisi zinaungika mkono lakini nyengine haziungiki. Jee do we have the true results of these projects ama ni mijisifa ya kujisifu wenyewe.

Serekali yetu pia imeanza kuja na siasa za ubaguzi wa kidini, ukanda na Nepotism.

Tuwache kujisifia na uwizi tutakao ufanya na mabavu tutakayo tumia kuiba ushindi wa kishindo.
Mkuu Mkirindi, tujifunze kupinga hoja kwa hoja. Katika mchango wangu nimeunga mkono kwa hoja mbili, pangua hoja vinginevyo
Pole.

Hapa nazirudia tena zile hoja na kukuongezea hoja ya tatu ya kukueleza kwa nini CCM lazima ishinde na CCM itatawala milele Tanzania.
2020!.

Namalizia kwa hii
P.
 
Habarini wanajamvi....

Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,

Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
wewe ni mzigo tena kifurushi cha pamba tu, unazidiwa akili hata na mtoto aliye chini ya miaka mitano

Hapo ulipo unatia huruma unaishi kwenye nyumba ya tembe alafu unatuletea ujinga hapa

Hivi kweli umeenda hata darasa 5? Huna akili kabisa wewe ni mzigo hata kwa familia yako, wazee wako wamekata tamaa ya maisha si bora hata ungaikie namna hata ya kuwapunguzia mzigo wa taabu kuliko kuangaikia ujinga!!!!
 
Ukimuuliza Mzimbabwe yoyote yule hata aliyemo ndani ya system basi.atakwambia Mugabe amewapeleka.ovyo sana na siasa zake za.sifa zisizokuwa na mpangilio. Time will tell in our case!
 
Hizi kauli zinarudiwa sana, kwa nn msiwaachie wananchi wakaamua wenyewe? Maana mmezuia wapinzani wote kufanya mikutano mmebaki wenyewe tu kufanya mikutano.wakifanya wapinzani mnawaitia polis. Demokrasia Ni kuruhusu wanasiasa wajitangaze kwa umma mwisho wa Siku umma utaamua.

Watuache wananchi wametupa Miaka mitano ya kuwahudumia,

Propaganda zingine hazina nafasi kwa muda huu,

Muda ukifika mtazungumza...
 
Tuondolee UPUMBAVU WAKO hapa!
Habarini wanajamvi....

Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,

Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
 
MPUUZI nambari one of JF with his objectivity of what’s going on in our beloved country.

Mkuu Huko Kwenu Vipi, kwanza naunga mkono hoja, pili angalau wewe hili ndio leo unaliona,
Angalia tarehe ya mabandiko haya uangalie sie wenzio tuliona lini na tukasema humu. Wenzetu wengi japo kwa sasa wanakubeza hapa, lakini hili ni ukweli mtupu na ukweli halisi ambao wao watauona baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020!.

Mnaombeza mtoa mada endeleeni tuu kubeza ila ukweli wa matokeo ndio utawafungua macho.
P
 
Mkuu Mkirindi, tujifunze kupinga hoja kwa hoja. Katika mchango wangu nimeunga mkono kwa hoja mbili, pangua hoja vinginevyo
Pole.

Hapa nazirudia tena zile hoja na kukuongezea hoja ya tatu ya kukueleza kwa nini CCM lazima ishinde na CCM itatawala milele Tanzania.
2020!.

Namalizia kwa hii
P.
Asante kwa pole, na Heshima kwako ndugu, kabla ya mtu kupangua ama kujibu hoja, lazima tutumie logic na reality zilizopo.

1. Chama chetu cha CCM, ni chama kikongwe Afrika na Ulimwenguni, chenye Historia ya kipekee.

2. Penye Democracy haiwezekani kuwa na kuungwa mkono by 100%, kama Democracy, freedom of speech na fair ply ground vitakuwepo na vitatekelezwa. Jee vyote hivi vipo.

3. Haki ya kuwa mpinzani sio lazima mtu awe wa chama cha upinzani, jee wanachama wa CCM wasiokubaliana na mambo yaendavyo chamani mwao, watapewa nafasi au wtakatwa kwenye kugombea. Ndugu inclusivitive ndani ya chama kinapotea, kinachoendelea ni yes man.

Ndugu pascal a great thinker kama wewe huhitaji kuelekezwa, unaona mengi na unayajua, you definetly know where am coming from.

Nikushukuru kwa kunipa pole tena, kwani unajua ninavyokipenda chama changu na unajua tunaelekea pabaya. Mimi sikuombei upate cheo chochote kwa maandiko yako, bali nakuombea utambulike kwa uzakendo wako na juhudi, uwezo na akili zako.

Siku njema
 
wewe ni mzigo tena kifurushi cha pamba tu, unazidiwa akili hata na mtoto aliye chini ya miaka mitano

Hapo ulipo unatia huruma unaishi kwenye nyumba ya tembe alafu unatuletea ujinga hapa

Hivi kweli umeenda hata darasa 5? Huna akili kabisa wewe ni mzigo hata kwa familia yako, wazee wako wamekata tamaa ya maisha si bora hata ungaikie namna hata ya kuwapunguzia mzigo wa taabu kuliko kuangaikia ujinga!!!!

Wewe ni fala kweli kweli,upumbavu wako huu utaisha lini? Yaan wazazi wangu wakate tamaa ya kuishi?

Unaongea utafikiri unanijua kweli fala kweli,
 
Hiyo 100% ni akina nani?

Mimi ni mwananchi,
Siungi mkono ccm

Wananchi wa nchi gani unawasemea?
Kama ni watanzania ndio sisi na hatuungi mkono mauaji na utekaji.


Wananchi wa Taifa hill,

Wewe nyangumi mmoja huwezi kutukwamisha
 
Hakuna ubabe wananchi wametambua kuwa CCM ndo chama pekee kitakachowaletea maendeleo
Hayo maendeleo mmeyajua Leo? Au wananchi gani wajinga wasiojua ccm iko madarakani kwa majina tofauti zaidi ya miaka 50 sasa? Unaongelea wananchi au wanaCCM?
 
MPUUZI nambari one of JF with his objectivity of what’s going on in our beloved country.
Ukiwa ni mzalendo wa kweli wa taifa lako, hautajali kutukanwa, kusimangwa, kukashifiwa, kudhalilishwa na hata kutengwa na kuonekana an enemy of the people kwa ajili ya kuusema ukweli mchungu, watu wasiopenda kuusikia, kwa sababu siku zote nabii huwa hakubaliki kwao, hata Masiya alisulubishwa na watu wake na ni kuteswa kwake, sisi tuliponywa, hivyo ni ukweli kama huu ndio utalisaidia taifa letu.




Hoja zote hizi ni hoja chungu lakini ndio ukweli wenyewe na mimi sitaacha kuusema ukweli hata uwe mchungu vipi, bila kujali ukweli huu utamfurahisha nani na utamuudhi nani as long as ni ukweli.
P
 
Mkuu Huko Kwenu Vipi, kwanza naunga mkono hoja, pili angalau wewe hili ndio leo unaliona,
Angalia tarehe ya mabandiko haya uangalie sie wenzio tuliona lini na tukasema humu. Wenzetu wengi japo kwa sasa wanakubeza hapa, lakini hili ni ukweli mtupu na ukweli halisi ambao wao watauona baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020!.

Mnaombeza mtoa mada endeleeni tuu kubeza ila ukweli wa matokeo ndio utawafungua macho.
P

Asante sana Paschal Mayala,Kimsingi watu huwa hawapendi kuambiwa ukweli,na hakuna kazi ngumu kuamini ukweli unapoambiwa ukweli kuhusu jambo Fulani,

Watu wameamua tu kuweka pamba masikioni lakini huu ndo ukweli kuwa 2020 ni Tanzania ya kijani tu watu wanashindwa kutofautisha CCM ya sasa chini ya JPM na CCM ya miaka ya nyuma,

CCM ya sasa ni ya maendeleo fly-over,vituo vya afya kila corner,ndege,Elimu bure,barabara zinajengwa,ikulu na ofisi zake zinahamia dodoma, reli zinajengwa ndipo watu wanashindwa kutofautisha,


Lakin baada ya uchaguzi watakuja kujua ukweli,

Waache waendelee kuwa na vichwa vigumu vya kuelewa...
 
Wenye akili hujiiliza kama baada ya uchaguzi ujao watakuwa bora kuliko sasa. Japo sijui nani atapata wabunge wangapi, najiuliza wabunge wa upinzani wamezuia jambo gani kufanyika na wakafanikiwa na wakiondoka jambo hilo litafanikiwa!!

Tatizo wanachonganisha wananchi na Serikali,

Hawanaga plan B bungeni zaidi ya kuleta chokochoko hawaishauri Serikali zaidi ya kusema Serikali imeshindwa hiki na hiki,

Haijalishi Mbunge ni wa chama gani,Wajibu mmojawapo wa Mbunge ni kuishauri Serikali sasa badala ya kutoa ushauri wanaleta chokochoko
 
Back
Top Bottom