Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Hakuna ubabe wananchi wametambua kuwa CCM ndo chama pekee kitakachowaletea maendeleo
Sasa nyangumi wana keyboard kwenye maji mkuu?Wananchi wa Taifa hill,
Wewe nyangumi mmoja huwezi kutukwamisha
Nawashanga maana naona uchaguzi ni wa chama kimoja dunia inadanganywa(lakini inajidanganya ccm) wakimaliza uchaguzi wao lazima wata paruranaWakifanya uchaguz huru wapinzani hawawez kukosekana......
Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
CCM wana mkakati mzito sana wa kufuta upinzani kwa MTUTU ,Hpolepole alishasema kwamba Zitto harudi bungeni na hii kweli ni trela movie inakuja sasa 2020 kama wapinzani wakiruhusu huu upuuzi unaofanyika sasa kwenye uchafuzi wa serikali za mitaa basi wamekwisha hiyo 2020 itakua balaa.Kwa kinachoendelea sioni Upinzani ukirudi bungeni
Mliwekeza nguvu kubwa kwenye siasa za mitandaoni na kumpinga kila kitu JPM mkasahau yeye kashika kwenye mpini ,
Huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni trela tu picha kamili 2020
Mtaenguliwa hadi mtie akili
Mtalia lia demokrasia hamtaipata ,mtaishia Twitter na fb na Jf
Nasikia huko hai jimbo la Mbowe ,CCM imepita bila kupingwa
Hiyo ni trela , wabunge wajanja walikimbilia ccm mapema
Halima mdee , analialia tu twitter
Kauli za makonda kuhusu wabunge wa Kawe,ubungo , na kibamba ni Alarm tu kuwa 2020 hamrudi bungeni
Magufuli amedhamilia kuumaliza upinzani
2025 tutausoma upinzani kwenye maktaba ya taifa .
Upinzani ukifa kama unavyotamani, CCM Itaanza kuuwa raia. Hata wewe hautakuwa salama. Eti chama kilichotawala tangu 1961 mpaka leo hakiwezi kujenga hoja. Kinawaogopa hata raia wasiomaliza darasa la saba. Kinategemea hujuma kwa wapinzani, matumizi ya polisi, kuteka, kuua, mahakama na jeshi.Kwa kinachoendelea sioni Upinzani ukirudi bungeni
Mliwekeza nguvu kubwa kwenye siasa za mitandaoni na kumpinga kila kitu JPM mkasahau yeye kashika kwenye mpini ,
Huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni trela tu picha kamili 2020
Mtaenguliwa hadi mtie akili
Mtalia lia demokrasia hamtaipata ,mtaishia Twitter na fb na Jf
Nasikia huko hai jimbo la Mbowe ,CCM imepita bila kupingwa
Hiyo ni trela , wabunge wajanja walikimbilia ccm mapema
Halima mdee , analialia tu twitter
Kauli za makonda kuhusu wabunge wa Kawe,ubungo , na kibamba ni Alarm tu kuwa 2020 hamrudi bungeni
Magufuli amedhamilia kuumaliza upinzani
2025 tutausoma upinzani kwenye maktaba ya taifa .
Ukweli mchungu sana huu,wapinzani wakibakia kufanya siasa za Twita,fesibuku na insta 2020 wanapotea kabisa kwenye ramani,yaani baada ya 2020 wasipokuwa makini CDM na ACT kwa huku bara kitakuwa kama chama cha mrema hakina mbunge wala diwani kitabaki na ofisi tu.Kwa kinachoendelea sioni Upinzani ukirudi bungeni
Mliwekeza nguvu kubwa kwenye siasa za mitandaoni na kumpinga kila kitu JPM mkasahau yeye kashika kwenye mpini ,
Huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni trela tu picha kamili 2020
Mtaenguliwa hadi mtie akili
Mtalia lia demokrasia hamtaipata ,mtaishia Twitter na fb na Jf
Nasikia huko hai jimbo la Mbowe ,CCM imepita bila kupingwa
Hiyo ni trela , wabunge wajanja walikimbilia ccm mapema
Halima mdee , analialia tu twitter
Kauli za makonda kuhusu wabunge wa Kawe,ubungo , na kibamba ni Alarm tu kuwa 2020 hamrudi bungeni
Magufuli amedhamilia kuumaliza upinzani
2025 tutausoma upinzani kwenye maktaba ya taifa .
Kwa kinachoendelea sioni Upinzani ukirudi bungeni
Mliwekeza nguvu kubwa kwenye siasa za mitandaoni na kumpinga kila kitu JPM mkasahau yeye kashika kwenye mpini ,
Huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni trela tu picha kamili 2020
Mtaenguliwa hadi mtie akili
Mtalia lia demokrasia hamtaipata ,mtaishia Twitter na fb na Jf
Nasikia huko hai jimbo la Mbowe ,CCM imepita bila kupingwa
Hiyo ni trela , wabunge wajanja walikimbilia ccm mapema
Halima mdee , analialia tu twitter
Kauli za makonda kuhusu wabunge wa Kawe,ubungo , na kibamba ni Alarm tu kuwa 2020 hamrudi bungeni
Magufuli amedhamilia kuumaliza upinzani
2025 tutausoma upinzani kwenye maktaba ya taifa .
Kwa kinachoendelea sioni Upinzani ukirudi bungeni
Mliwekeza nguvu kubwa kwenye siasa za mitandaoni na kumpinga kila kitu JPM mkasahau yeye kashika kwenye mpini ,
Huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni trela tu picha kamili 2020
Mtaenguliwa hadi mtie akili
Mtalia lia demokrasia hamtaipata ,mtaishia Twitter na fb na Jf
Nasikia huko hai jimbo la Mbowe ,CCM imepita bila kupingwa
Hiyo ni trela , wabunge wajanja walikimbilia ccm mapema
Halima mdee , analialia tu twitter
Kauli za makonda kuhusu wabunge wa Kawe,ubungo , na kibamba ni Alarm tu kuwa 2020 hamrudi bungeni
Magufuli amedhamilia kuumaliza upinzani
2025 tutausoma upinzani kwenye maktaba ya taifa .