Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Chadema na upinzani wamekufa kibudu mapema
State agent
Wewe hata mtu kukuita ni zuzu ni sawa na kukusifia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema na upinzani wamekufa kibudu mapema
State agent
Mnadhani watakaoumia ni Mbowe, Zitto na Kina Lema? Tusubiri majibu 2021.Chadema na upinzani wamekufa kibudu mapema
State agent
Tatizo linakuja who is mpinzan?CCM wana mkakati mzito sana wa kufuta upinzani kwa MTUTU ,Hpolepole alishasema kwamba Zitto harudi bungeni na hii kweli ni trela movie inakuja sasa 2020 kama wapinzani wakiruhusu huu upuuzi unaofanyika sasa kwenye uchafuzi wa serikali za mitaa basi wamekwisha hiyo 2020 itakua balaa.
Mnadhani watakaoumia ni Mbowe, Zitto na Kina Lema? Tusubiri majibu 2021.
Wapinzani waoga na ndio kete wanayotumia CCM,mapinduzi kazi ngumu lazima ujitoe,awamu hii haihitaji mtu wa bla bla ,awamu hii inahitaji upinzanzi Konki ,upinzani wa field yaani ng'wadu kwa ng'wadu kaaa chini sikaiii ,sogeaa sisogei,nitakuua niueee,nitakupasua nipasueee ndio awamu hii inataka,wapinzani wakifanya siasa za twita,fesibuku watuala wa chuya.Tatizo linakuja who is mpinzan?
Cha msingi tupiganie katiba mpya ata tukisusia uchaguzi ujao bado itatengenezwa ccm b ili mataifa ya magharibi waone bado kuna democrasia ya vyama vingiWapinzani waoga na ndio kete wanayotumia CCM,mapinduzi kazi ngumu lazima ujitoe,awamu hii haihitaji mtu wa bla bla ,awamu hii inahitaji upinzanzi Konki ,upinzani wa field yaani ng'wadu kwa ng'wadu kaaa chini sikaiii ,sogeaa sisogei,nitakuua niueee,nitakupasua nipasueee ndio awamu hii inataka,wapinzani wakifanya siasa za twita,fesibuku watuala wa chuya.
Kwa sasa hayo yote hayatosaidia ,siasa za sasa zinahitaji jino kwa jino mbwai mbwai ng'adu kwa ng'adu.Cha msingi tupiganie katiba mpya ata tukisusia uchaguzi ujao bado itatengenezwa ccm b ili mataifa ya magharibi waone bado kuna democrasia ya vyama vingi
idiot!!!Chadema na upinzani wamekufa kibudu mapema
State agent
good and fine!!Cha msingi tupiganie katiba mpya ata tukisusia uchaguzi ujao bado itatengenezwa ccm b ili mataifa ya magharibi waone bado kuna democrasia ya vyama vingi
Kinachoendelea sasa HV,ni ujambazi na ubakwaji wa demokrasia,Kwa kinachoendelea sioni Upinzani ukirudi bungeni
Mliwekeza nguvu kubwa kwenye siasa za mitandaoni na kumpinga kila kitu JPM mkasahau yeye kashika kwenye mpini ,
Huu uchaguzi wa serikali za mitaa ni trela tu picha kamili 2020
Mtaenguliwa hadi mtie akili
Mtalia lia demokrasia hamtaipata ,mtaishia Twitter na fb na Jf
Nasikia huko hai jimbo la Mbowe ,CCM imepita bila kupingwa
Hiyo ni trela , wabunge wajanja walikimbilia ccm mapema
Halima mdee , analialia tu twitter
Kauli za makonda kuhusu wabunge wa Kawe,ubungo , na kibamba ni Alarm tu kuwa 2020 hamrudi bungeni
Magufuli amedhamilia kuumaliza upinzani
2025 tutausoma upinzani kwenye maktaba ya taifa .
Cha msingi tupiganie katiba mpya ata tukisusia uchaguzi ujao bado itatengenezwa ccm b ili mataifa ya magharibi waone bado kuna democrasia ya vyama vingi