BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Safi refa
Kivipi hauna ladha? Au wewe ni malawi kamanda .....
Kwahiyo Morroco tumetoka sio?
haina kwere
mbona unajichekeshaInafanana ya Simba na Mbeya City [emoji28][emoji28]
Nipo Malawi kwa mkopo...
Nyuma ya Feisal kuna Dickson Job na Mzamiru, hapo wakina Sais na Hakimi lazima wapoteane.Hivi Tanzania Tulikuwa Tunapambana Kuja Huku ili Mfungaji wetu awe Bocco? Au Beki awe Kibwana Shomary [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] au Kiungo Awe Feisal Toto? Bora hata hatukuja
Simba Iliwadanganya hadi Timu ya Taifa Kuwa Wangeweza Kupambana na Waarabu, Wa Nigeria [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Simba Mungu Anawaonaaaa Kuwaaminisha wenzenu Ujinga