2021 AFCON Special Thread

2021 AFCON Special Thread

Hivi Tanzania Tulikuwa Tunapambana Kuja Huku ili Mfungaji wetu awe Bocco? Au Beki awe Kibwana Shomary [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] au Kiungo Awe Feisal Toto? Bora hata hatukuja

Simba Iliwadanganya hadi Timu ya Taifa Kuwa Wangeweza Kupambana na Waarabu, Wa Nigeria [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Simba Mungu Anawaonaaaa Kuwaaminisha wenzenu Ujinga
Nyuma ya Feisal kuna Dickson Job na Mzamiru, hapo wakina Sais na Hakimi lazima wapoteane.
 
Back
Top Bottom