Mie Utabiri wangu unabaki palepale kuwa bingwa ni kati ya..
1. Ivory Coast
2. Morocco
3. Cameroon.
Bonus
Mali
Malawi wamepambana sana kadri ya uwezo wao!! Sina ninachowadai
Nishapoa kamanda, kesho nipo Ivory Coast mapema sanaPole sana kamanda wangu
Nishapoa kamanda, kesho nipo Ivory Coast mapema sana
Kesho tutaijadili vya kutosha mzee, mtanange sio wa kitotoPouwa kamanda, bado tunakibarua kigumu kwa Egypt/Ivory coast
Kesho tutaijadili vya kutosha mzee, mtanange sio wa kitoto
Ivory coast au Egypt ndio mabingwaMie Utabiri wangu unabaki palepale kuwa bingwa ni kati ya..
1. Ivory Coast
2. Morocco
3. Cameroon.
Bonus
Mali
Sio mbaya sana....Malawi wamepambana
Timu yako mbovu mnakosa penalty mnalaumu TFFTFF ni watu wa hovyo sana..Simba imekuja vizuri inafanyiwa kila aina ya hujuma
Mechi ipi ya home au awayHuyu refa ni raia wa Burundi, kuna mechi alichezesha Simba na Kaizer Chiefs alituua sana
Kipa Manura [emoji23][emoji23]Hivi Tanzania Tulikuwa Tunapambana Kuja Huku ili Mfungaji wetu awe Bocco? Au Beki awe Kibwana Shomary [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] au Kiungo Awe Feisal Toto? Bora hata hatukuja
Simba Iliwadanganya hadi Timu ya Taifa Kuwa Wangeweza Kupambana na Waarabu, Wa Nigeria [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Simba Mungu Anawaonaaaa Kuwaaminisha wenzenu Ujinga