2021 AFCON Special Thread

Hawa jamaa wamezingua ukiondoa hilo goli lao sijaona mkakati wa maana kabisa.
Yaani huku kwa hakimi ndio wlitakiwa wabane wao wanamuacha anatiririka tuu.

Hawakuona wenzao tunisia, moses simon alikuwa nakabwa hadi watu watatu maana walijua ili nigeria ilete madhara ni lazima mpira upige kwa simon
 
Kipa Manura [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…