2021 AFCON Special Thread

Mashabiki wa Cameroon waliojitokeza kwa wingi uwanjani wamejikuta wakiishabikia Senegal😂
Senegal inaonewa huruma sana...maana mzimu wa kufungwa fainali unawatesa.

Ila wanavyopoteza nafasi muhimu wanatupa wasiwasi
 
Hii fainali itakuwa tuu kama Simba vs Mbeya kwanza,Misri watazuia wee lakini watatobolewa..

Kipindi cha kwanza Misri huwa wanacheza hovyo Sana kama tuu mechi na Cameron
 
Mwenye kombe lake ndo anachukua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…