The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Huyu refa ni fala Sana anataka kuharibu mchezo kwa kutoa umeme, yaani katoa kadi 7 vs 9 kwa Senegal na Egypt respectively.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Wakaze wakaze tusiingie matuta tutalima viazi
Shabiki wa Cameroon, leo upo upande gani?Wao wanahakikisha kwanza hupati goli, kisha wanakupiga counter attack
Senegal 😂🇸🇳Shabiki wa Cameroon, leo upo upande gani?
AhahahHapo hapo namuona Mane kaja kumwambia golikipa hoya nenda golini kadake huyo anakupotosha shauri yako..
Chombo ya tajiri lakiniMtoto hapo kifuan amenikosha kwel
Fainali zilizopita ilipocheza Senegal na Algeria nilikuwa upande wa waarabu, leo tena anacheza Senegal na Mwarabu moyo wangu unatamani Senegal washinde japo mimi sio shabiki yao.Senegal [emoji23][emoji1211]
Senegal wanachezea nafasi
Umegundua nini kwakwe?Huyu refa ni wa wapi?