2021 AFCON Special Thread

Kila la heri Algeria.....FORT, leo tunampiga goli ngapi equatorial?
 
Kha jamani kweli sie hatuji mpira yaani hawa ndugu zake george weah walifungiwa n caf wamepigana vita na ligi haichezwi lakini wana cheza afcon wakati sie tunaangalia kwa chupa ya mzungu....kweli sie wabongo tupo m.kunduni mmwa ulimwengu wa mpira
 
Rais wa Cameroon, Paul Biya ametoa agizo kwa ofisi zote za umma pamoja na shule na vyuo kupunguza muda wa kazi ili kutoa nafasi kwa watu kuhudhuria mechi za Afcon 2021 nchini humo.

Pia watu watakaokata tiketi watapatiwa usafiri wa kwenda na kurudi bureeee

Kwahyo kuanzia kesho viwanja vitajaa
 
Kha jamani kweli sie hatuji mpira yaani hawa ndugu zake george weah walifungiwa n caf wamepigana vita na ligi haichezwi lakini wana cheza afcon wakati sie tunaangalia kwa chupa ya mzungu....kweli sie wabongo tupo m.kunduni mmwa ulimwengu wa mpira

Haya mambo ukitafakari sana yanatia hasira sana yan
 

Michuano ilipoa sana, ngoja tuone kama watajitokeza
 

Michuano ilipoa sana, ngoja tuone kama watajitokeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…