2021 AFCON Special Thread

URAIA PACHA unasaidia sana, we chunguza, nchi nying wameruhusu uraia pacha, wanapata wachezaji wengi, mfano equatorial quinea wachezaji karibia 17 wote wamezaliwa Spain, unategemea nn, nchi yetu imebadili mifumo ya kizaman imepitwa na wakat,

Kumbe ni wa spain! Ina maana yule aliechukua man of the match ni mhispaniola?
 
URAIA PACHA unasaidia sana, we chunguza, nchi nying wameruhusu uraia pacha, wanapata wachezaji wengi, mfano equatorial quinea wachezaji karibia 17 wote wamezaliwa Spain, unategemea nn, nchi yetu imebadili mifumo ya kizaman imepitwa na wakat,

Uraia pacha unasaidia mno kaka
 
Ligi ya Tanzania ni ya 8 Afrika kwa ubora.
 
Sana siyo kidogo, sisi viongozi wetu wameng'ang'ania mawazo ya kiprimitive tu, tunatakiwa tubadilike sana

Kweli kabisa, Uraia pacha ni muhimu mno kamanda....kama wataruhusu watakuja kuyaona matunda yake....kwa sasa Tanzania ni mojawapo ya nchi kumi katika Afrika ambazo bado haziruhusu uraia pacha, na huenda sasa zimebaki sita, kama Ethiopia na Cameroon wamesharuhusu. Kati ya nchi 54 za Afrika, 44 zimeruhusu uraia, na kama ina utata wasingeruhusu nchi zote hizo , washaona ina faida mno na ndio maana nchi zao zimeendelea....wenzetu waliona mbali...
 
Kabisa, viongozi wetu ni waoga kifikra, sijui uko wanakoenda kwenye ziara nchi nyingne hawajifunzi? Au kukosa exposure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…