2022 Haya ndio makabila yanaongoza kwa maendeleo

Matajiri wakurya wapo wengi tu mwanza ila nawashangaa sana wabongo kumhusisha KITANA kwenye utajiri wakati alishashindwa hata kukamirisha gorofa lake pale kirumba sasa ni gofu zaidi ya miaka kumi! Lakini angalia wafanyabiashara wakubwa kama kishimba anavitega uchumi kama Rock bech, apartment bugando, jengo la kibiashara karibu na soko kuu hapo,Ramada hotel na apartment kibao dodoma na dar es salaam!
Hapo bado akina na mzee,Mipa hotel,Mongo house, Pigion hotel n.k
Matajiri wakurya ni wengi lakini kitana wala hana vitu vya maana!
Yupo jamaa anaitwa Ignas pale Geita ni ni tajiri wa kutupwa. Eti wakurya ! Mkurya gani tajiri hapo Mwanza ?
 
MSUKUMA NI MTU MMOJA MSHAMBA NA MJINGA HAPA NCHINI HICO KILIMO UNASEMA ANAFANYA KWA NGUVU NYINGI HUISHIA KUUZA MAZAO KWA BEI RAHISI NA KUPELEKEA WAFANYA BIASHARA NA MATAJIRI KUFAIDI KULIKO YEYE NA ASILIMIA KUBWA YA HAO WAFANYA BIASHARA NI WACHAGA KWAHYO APO MSUKUMA AMEISHIA KUA KAMA MANAMBA AU MTUMWA
 
WASUKUMA NI WASHAMBA TU WANAWEZA KUA NA MALI NYINGI KAMA NG'OMBE HATA BUKU MASHAMBA MAKUBWA LAKINI ASIWE HATA NA CHOO SALAMA KWA MATUMIZI HUO NI UMASIKINI WENYEWE
 
NARUDIA TENA WASUKUMA MNA MASHAMBA MAKUBWA NA MNAFANYA VILIMO VIKUBWA HLO HALIPINGWI LAKINI MNUFAIKA WA KILIMO CHENU NI DALALI NA MFANYA BIASHARA HII NI KUTOKANA NA KUUZA MAZAO KWA BEI YA CHINI KWA SABABU AKILI HAMNA MNAISHIA KUNUFAISHA WACHAGA AMBO NI WAFANYAJI WAZURI WA BIASHARA ZA MAZAO.
MUACHE UPOPOMA
 
WAHAYA WASHAMBA TU NIMESOMA NAO USHIRIKA YANI WAO AKILINI MWAO WANAOTA KUAJIRIWA TU KWENYE UCHAMBUZI WA HOJA NA KUTATUA MATATIZO YA JAMII KAZI KUKARIRI ELIMU ZAO HAWATUMII KWENYE MAISHA HALISI NI WAJINGA TU NA UNAKUTA JITU KAMA HLO LINA PATA GPA YA 4 MPAKA 4.8 MPAKA UNAJIULIZA HUYU MTU ANASOMEA UJINGA NA UPUMBAVU..
 
Kwa hiyo kwenye biashara ya nafaka mchaga anamzidi msukuma? Wewe wa wapi?
Kwenye biashara zifuatazo mchaga anamzidi msukuma
Maduka ya vifaa vha magari,super market,baa na biashara za vyuo binafsi na shule!
Msukuma anamzidi mchaga kwenye biashara zifuatazo!
Baiashara ya nafaka na mazao,madini,mifugo!
Wahaya wanawazidi wachaga kwenye elimu,na kwenye firm kama za sheria n.k
Wewe punguza tu chuki huu ya wao jamaa wako vizuri sekta nyingi ndio maana hata hao wachaga hawana mji mingi ya kiashara kwao kama katoro na kahama!
 
Kabila la kwanza kuendelea ni Wahindi Chief. Wakafuatia waarabu ndio useme wachagga. Hata wakinga Bado sana hiyo nafasi. Ungesema wapemba.
 
Kuhusu usomi nahisi umechukua data za 1990s kwa sasa kila kabila lina wasomi tena wachaga wanadrop sana kielimu wanabase na biashara sana.
 
Endelea kuota na kukariri maisha, msukuma anapatikana maeneo yote msukuma utamkuta, mbugani, porini, mijini, vijijini, visiwani na sehemu zote zenye rutuba, msukuma ni mapambanaji kuliko mtu yoyote msukuma sio mchuuzi kama mchaga, msukuma sio mwizi kama mchaga, msukuma sio tapeli, msukuma anafanya biashara halali.
Nakuuliza kwa hiyo hakuna wafanyabiashara wa mazao wasukuma au ndio mnaishi kwa kusimuliana hadithi za abunuwas?
 
Kabila la kwanza kuendelea ni Wahindi Chief. Wakafuatia waarabu ndio useme wachagga. Hata wakinga Bado sana hiyo nafasi. Ungesema wapemba.
Endeleea kulishana upumbavu na ujinga, ukitoa muhindi na Mwarabu anayefuata ni msukuma endeleeni kututukana wasukuma washamba ndio hao wanaomiliki ardhi ya Tanzania 65% Kaeni kwa kukariri hivyo hivyo msukuma ni kama vile simba mwenda pole.
 
Huu kusema wachaga hawazidi m1 ni uongo wachaga wanakaribia m4
 
Ila mikoa ya wasukuma inaongoza kwa umaskini..
Acha kuleta ushabiki kama unataka mjadala serious
 
Ngosha jaribu kuwa serious basi wasukuma hawawezi kuongoza kwa utajiri kila mwaka kuna njaaa na mahindi ya msaaada 70% yanapelekwa usukumani
 
Umesahau kwa wasukuma ongezea na neno Kilimo.Humo ndani ya kilimo kutabeba ufugaji,uvuvi na uchimbaji mdogo hawa jamaa nawapenda sana kwa kweli hata sidiriki kuwatania
 
Mbona ukienda makambako, Njombe hutawaona wachagga Ila Pana maendeleo ya kutosha. Matajiri ni wazawa tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…