We una umri gani kwanza. Mambo unayozungumzia yameshapitwa na wakati. Kwanza yanakusaidia nini kama siyo umejaa ukabila? Umesahau uchagani ndio kuna ongoza kwa kwashiakor? Kunaongoza kwa aina nyingi za pombe ya kienyeji kiasi wanawake ndiyo wanaochimba mifereji? Je siyo uchagani wanaume wameshindwa kuhudumia wanawake zao kingono mpaka wanasaidiwa na wakenya kwa sababu ya ulevi?
Shule unazozungumzia ni zile zilizojengwa na taasisi za kizungu hasa za kidini na zikaja kutaifishwa na serikali na hatimaye walisoma watanzania wote siyo wachaga tu. Kwa leo Mikoa yote ina shule nyingi za sekondari na za msingi. Sasa hivi unakuta kata moja ina shule za sekondari mpaka 4. Kama kusoma sasa hivi makabila yote yamesoma acheni kudanganya watu wasiowafahamu.
Uchagani kuna umaskini hakuna mfano ndiyo maana kijana wa kichaga akimaliza tu shule iwe ya msingi au ya sekondari na ameshindwa kuendelea ni kukimbia kuelekea mikoa mingine kwa sababu uchagani hakukaliki. Mnaishi kama wakimbizi bado unajisifu eti mwisho wa mwaka mnarudi nyumbani mlikuwa wapi mwaka mzima? Kama kwenu ni kuzuri kumeendelea kitu gani kinawafanya msitulie kwenu? Msidanganye watu uchagani kugumu mi nakufahamu tena sana.
Unazungumzia kuendeleza kwenu, nikuulize ni wilaya gani ndani ya mkoa wa Kilimanjaro makao makuu yake yana hadhi hata ya halmashauri ya mji? Mkoa kama Tanga Korogwe ina Halamashauri 2 moja ya mji, una Halamashauri 2, wilaya ya Handeni ina Halmashauri 2 moja ya mji. Kilimanjaro Rombo ni ili ile, Hai ndiyo ina mji mdogo wa Bomang'ombe, Siha haina lolote, Same ndiyo hivyo tena imeshadoda, Mwanga huwezi kujua hata kama ni makao makuu ya Wilaya utafikiri kijiji. Sasa niambie huko mlikoendeleza miji yake inaitwaje?
Tatizo wachaga wengi mna matatizo ya afya ya akili kwasababu ya ugumu wa maisha. Mnapenda makuu kwa vitu vidogo sana, mnapenda sifa za kijinga tena za uwongo, mna ukabila, mnapenda sana ligi tena mnataka kushindana na makabila zaidi ya 120 ya Tanzania. Kwenu kuna umaskini hakuna rasilimali yoyote, hakuna ardhi kusema mlime, kwanza ni wavivu wa kulima mnapenda short cut muuze vifaa vya kichina, mfanye umachinga, mchome nyama, mpike supu, mkaange chipsi ndiyo kazi yenu.
Hakuna bahari wala ziwa kwenu kusema mvue, hakuna ufugaji wowote mna uchumi gani?. Nyie mtaendelea kuishi kama wakimbizi ndani ya Tanzania. Mwezi wa 12 mnarudi kwenu kwenda kuwaonesha ndugu zenu mliowaacha mlichovuna mnavyopenda sifa. Kingine ni kwenda kuzikwa kwenu. Matajiri wa kichaga ni wachache sana kulinganisha ni population ya wachaga, wachache sana. Acheni show off na sifa za kijinga, sifa ya tajiri wa kweli ni siri hapendi kujionesha, ni maskini tu ndio hupenda kujionesha na kujisifu ndiyo sifa yenu.