2022 Haya ndio makabila yanaongoza kwa maendeleo

2022 Haya ndio makabila yanaongoza kwa maendeleo

Ushauri:Mada kama ivi zinaleta mtazamo hasi kwa jamii zetu ni Bora muachane nazo kwa mwaka huu 2022 kila mtu mfanyabiashara kama hukijui hata historia ya mengi pesa alipata wapi na jinsi serikali ilimpa pesa ili amanage ...hata ukiangalia trend ya matajiri wengi wa sasa ni wale walikuwa na pesa tangu enzi za mabanii zao ...wapo walioiba sana enzi za nyerere usidanganywe watu wakiiba kweli enzi izo na hapakuwa na mtu anajua....kuwekeza kweny elimu yeap uwekezaji ukifanya ila sio kuwafanyia watu wawe smart tunaona matoto ya kishua yanavyopata tabu huku vyuoni maana walizoea slope ....

Na katika elimu palikuwa na kasumba zamani ndo maana pakaletwa mfumo wa namba.


Kingine usirudie Tena kusema elimu imewafanya wamestaarabika hapana sio kweli ustaarabu unaanzia kitaa na jamii kwa ujumla watu wa Pwani ndo walikuwa wamestaarabika nimesoma na jamaa wanatoka Moshi na Arusha wanaogopa kvua nguo wanajificha hata wakikoja kwa vile Wana magovi...

Kwa takwimu zilizopo makabila ya mwisho kwa bongo ambao hawajajitambua ni tindiga/hadzabe wako huko kaskazini wakifuatiwa na wazee wa kushikilia Mila zao miaka na miaka wamasai.
Kuna wachaga wengi sana hawajatairiwa, tena kwa karne hii, wengi wanatairiwa ukubwani. Haya mambo zamani niliyaona Iringa na Songea, lakini kumbe uchagani ni kawaida. Kabila linaloijiita limestarabika, vijana wake uku wanatembea na mikono ya sweta, mmoja katoka Hai kaja hapa mtaani kutailiwa, ana miaka 28.
 
Kuna wachaga wengi sana hawajatairiwa, tena kwa karne hii, wengi wanatairiwa ukubwani. Haya mambo zamani niliyaona Iringa na Songea, lakini kumbe uchagani ni kawaida. Kabila linaloijiita limestarabika, vijana wake uku wanatembea na mikono ya sweta, mmoja katoka Hai kaja hapa mtaani kutailiwa, ana miaka 28.
😂😂😂😂😂😂
 
Hahahahaha hakika ni watu kazi!

Asili ya msukuma ni kazi, mpunga unaovunwa ifakara asilimia kubwa ni wasukuma, madibira, lujewa, wasukuma wanapiga mpunga tu, mpanda huko majimoto ni wasukuma tu nenda namanyere ni wasukuma tu yaani kwa kazi msukuma anajitahidi sana,
 
Hao wakinga mbona walotoboa wachache sana na biashara zao ni mbao na mitumba tu wengi hawapo katika level za kumiliki makampuni kama walivyo wahaya wachaga na wahindi biashara za magenge ndo mnasema watu wametoboa

[emoji2960][emoji38]
 
watu wanaotusua saizi ni wenye biashara zao, hizo ajira kwa sasa wasomi wapo kila kabila na wamo maofisini na wengine zaidi wanahitimu kila mwaka na wengi zaidi wanazikosa ajira.

wahaya walikuwa juu ila wanazidi kushuka kwasababu wanakumbatia sana elimu pekee wakidhani tupo kipindi cha Nyerere kwamba wao na makabila machache ndio walikuwa wasomi pekee wenye sifa za kujazana maofisini, zama zimebadika kwa sasa wasomi wapo wengi kama utitiri karibu kila kabila wenye sifa za kuajiriwa, maifisini demographics zimebadilika mno.

Wahaya wajifunze kwamba ajira hazina mmiliki kwa sasa, karibu makabila yote yanafaidi keki hii, hatupo enzi zile kila bosi wa shirika anaruhusiwa kuajiri anaishia kuweka ndugu zake, kwa sasa ajira zinasimamiwa na wizara ya utumishi, mambo yamebadilika sana.

pia tukija katika maendeleo ya kimkoa Kagera ipo nyuma sana, ripoti zinaonyesha wazi Kagera ndio mkoa unaoongozea kwa umaskini na ni mkoa wa mwisho kuchangia pato la taifa.
Nitazidi kukuona mpumbavu ukiendelea kudharau elimu.....

Hebu niache kubishana....
JamiiForums185423436.jpg
 
Top ten matajili Tanzania alikuepo Ally Mafuruki wa Infotex na Mengi, sasa wote ni marehem, hakiwa mengi peke yake.
Achana naye huyo...ana uchaga mwingi sana...


Mtu anaedharau elimu na matunda yake sio mtu wa kumsikiliza...
 
watu wanaotusua saizi ni wenye biashara zao, hizo ajira kwa sasa wasomi wapo kila kabila na wamo maofisini na wengine zaidi wanahitimu kila mwaka na wengi zaidi wanazikosa ajira.

wahaya walikuwa juu ila wanazidi kushuka kwasababu wanakumbatia sana elimu pekee wakidhani tupo kipindi cha Nyerere kwamba wao na makabila machache ndio walikuwa wasomi pekee wenye sifa za kujazana maofisini, zama zimebadika kwa sasa wasomi wapo wengi kama utitiri karibu kila kabila wenye sifa za kuajiriwa, maifisini demographics zimebadilika mno.

Wahaya wajifunze kwamba ajira hazina mmiliki kwa sasa, karibu makabila yote yanafaidi keki hii, hatupo enzi zile kila bosi wa shirika anaruhusiwa kuajiri anaishia kuweka ndugu zake, kwa sasa ajira zinasimamiwa na wizara ya utumishi, mambo yamebadilika sana.

pia tukija katika maendeleo ya kimkoa Kagera ipo nyuma sana, ripoti zinaonyesha wazi Kagera ndio mkoa unaoongozea kwa umaskini na ni mkoa wa mwisho kuchangia pato la taifa.
Hiv unataka wahaya waanze kufanya biashara za kutoa kafara na kutambika kama wanavyofanya hayo makabila mengi uliyoyataja hapo juu?

Hiv unaweza linganisha business startups za wenye elimu na exposure na wasio nayo wale walioishia la saba na kubebwa na kutoa makafara...hayo ndo mafanikio sio?kuwa na hela iliyotokana na kudhulumu watu, wizi serikalini, utapeli kama ule wa kariakoo, uchawi na shortcut kibao sio mafanikio hayo...na wahaya hawako hivyo...

Tazama biashara na makampuni ya wahaya ( wenye elimu zao)
INFOTECH ( mfuruki)
Kairuki ( ukoo wa kihaya wa kairuki unaomiliki mahospital, vyuo na viwanda)
(Engineering companies) ABEMULO, LUGANUZA, BYERA, DOTI nk
Tazama mashule ya wahaya ( St mark, st antony, st marys, Tusiime, Babro jonson, kemebos, st anne maria na nyingine nyingi zilizojaa Mwanza na Bukoba)
IPTL
Huu ni mfano tu..

Ukiangalia biashara hizi ziko very clean na zinafaidisha jamii nzima na huu ndo uwekezaji wa mtu mwenye elimu...


Huwezi linganisha na biashara za kichuuzi zilizojaa udhurumaji wanazofanya hao wachaga na wakinga
 
watu wanaotusua saizi ni wenye biashara zao, hizo ajira kwa sasa wasomi wapo kila kabila na wamo maofisini na wengine zaidi wanahitimu kila mwaka na wengi zaidi wanazikosa ajira.

wahaya walikuwa juu ila wanazidi kushuka kwasababu wanakumbatia sana elimu pekee wakidhani tupo kipindi cha Nyerere kwamba wao na makabila machache ndio walikuwa wasomi pekee wenye sifa za kujazana maofisini, zama zimebadika kwa sasa wasomi wapo wengi kama utitiri karibu kila kabila wenye sifa za kuajiriwa, maifisini demographics zimebadilika mno.

Wahaya wajifunze kwamba ajira hazina mmiliki kwa sasa, karibu makabila yote yanafaidi keki hii, hatupo enzi zile kila bosi wa shirika anaruhusiwa kuajiri anaishia kuweka ndugu zake, kwa sasa ajira zinasimamiwa na wizara ya utumishi, mambo yamebadilika sana.

pia tukija katika maendeleo ya kimkoa Kagera ipo nyuma sana, ripoti zinaonyesha wazi Kagera ndio mkoa unaoongozea kwa umaskini na ni mkoa wa mwisho kuchangia pato la taifa.
Hiv unataka wahaya waanze kufanya biashara za kutoa kafara na kutambika kama wanavyofanya hayo makabila mengi uliyoyataja hapo juu?

Hiv unaweza linganisha business startups za wenye elimu na exposure na wasio nayo wale walioishia la saba na kubebwa na kutoa makafara...hayo ndo mafanikio sio?kuwa na hela iliyotokana na kudhulumu watu, wizi serikalini, utapeli kama ule wa kariakoo, uchawi na shortcut kibao sio mafanikio hayo...na wahaya hawako hivyo...

Tazama biashara na makampuni ya wahaya ( wenye elimu zao)
INFOTECH ( mfuruki)
Kairuki ( ukoo wa kihaya wa kairuki unaomiliki mahospital, vyuo na viwanda)
(Engineering companies) ABEMULO, LUGANUZA, BYERA, DOTI nk
Tazama mashule ya wahaya ( St mark, st antony, st marys, Tusiime, Babro jonson, kemebos, st anne maria na nyingine nyingi zilizojaa Mwanza na Bukoba)
IPTL
Huu ni mfano tu..

Ukiangalia biashara hizi ziko very clean na zinafaidisha jamii nzima na huu ndo uwekezaji wa mtu mwenye elimu...


Huwezi linganisha na biashara za kichuuzi zilizojaa udhurumaji wanazofanya hao wachaga na wakinga
 
Ni kipi nimedanganya hapa ?

1. Mkoa wanaotoka wachaga hauongozi kwa shule nyingi ?
2. Mengi hakuwa tajiri pekee list ya top 10 mwenye asili ya Tz?
3. Wachaga sio kabila pekee wanalorudi pamoja kila mwisho wa mwaka?
4. Wachaga sio kabila linaloongoza kwa kuendeleza makwao ?
Mengi Tajiri pekee?

Hiv yule muhaya Ally mfuruki hukuwahi kumuona kwenye ile list?

To much chaggaism
 
Nitazidi kukuona mpumbavu ukiendelea kudharau elimu.....

Hebu niache kubishana....View attachment 2401358
1667061362240.png


rudi shuleni, inaonekana hujui chochote juhusu pato la taifa (GDP), kwa akili zako ukadhani gdp ni kodi zinazokusanywa tu au sio ??

umekazania elimu wakati elimu ya kawaida tu inakupiga chenga, shame !!

nend tuition ya karibu umtafute mwalimu akuelekeze national income, ntalipia 😂
 
View attachment 2401403

rudi shuleni, inaonekana hujui chochote juhusu pato la taifa (GDP), kwa akili zako ukadhani gdp ni kodi zinazokusanywa tu au sio ??

umekazania elimu wakati elimu ya kawaida tu inakupiga chenga, shame !!

nend tuition ya karibu umtafute mwalimu akuelekeze national income, ntalipia [emoji23]
Kumbe Takwimu zako unazitoa kwa zitto kabwe???
 
We una umri gani kwanza. Mambo unayozungumzia yameshapitwa na wakati. Kwanza yanakusaidia nini kama siyo umejaa ukabila? Umesahau uchagani ndio kuna ongoza kwa kwashiakor? Kunaongoza kwa aina nyingi za pombe ya kienyeji kiasi wanawake ndiyo wanaochimba mifereji? Je siyo uchagani wanaume wameshindwa kuhudumia wanawake zao kingono mpaka wanasaidiwa na wakenya kwa sababu ya ulevi?

Shule unazozungumzia ni zile zilizojengwa na taasisi za kizungu hasa za kidini na zikaja kutaifishwa na serikali na hatimaye walisoma watanzania wote siyo wachaga tu. Kwa leo Mikoa yote ina shule nyingi za sekondari na za msingi. Sasa hivi unakuta kata moja ina shule za sekondari mpaka 4. Kama kusoma sasa hivi makabila yote yamesoma acheni kudanganya watu wasiowafahamu.

Uchagani kuna umaskini hakuna mfano ndiyo maana kijana wa kichaga akimaliza tu shule iwe ya msingi au ya sekondari na ameshindwa kuendelea ni kukimbia kuelekea mikoa mingine kwa sababu uchagani hakukaliki. Mnaishi kama wakimbizi bado unajisifu eti mwisho wa mwaka mnarudi nyumbani mlikuwa wapi mwaka mzima? Kama kwenu ni kuzuri kumeendelea kitu gani kinawafanya msitulie kwenu? Msidanganye watu uchagani kugumu mi nakufahamu tena sana.

Unazungumzia kuendeleza kwenu, nikuulize ni wilaya gani ndani ya mkoa wa Kilimanjaro makao makuu yake yana hadhi hata ya halmashauri ya mji? Mkoa kama Tanga Korogwe ina Halamashauri 2 moja ya mji, una Halamashauri 2, wilaya ya Handeni ina Halmashauri 2 moja ya mji. Kilimanjaro Rombo ni ili ile, Hai ndiyo ina mji mdogo wa Bomang'ombe, Siha haina lolote, Same ndiyo hivyo tena imeshadoda, Mwanga huwezi kujua hata kama ni makao makuu ya Wilaya utafikiri kijiji. Sasa niambie huko mlikoendeleza miji yake inaitwaje?

Tatizo wachaga wengi mna matatizo ya afya ya akili kwasababu ya ugumu wa maisha. Mnapenda makuu kwa vitu vidogo sana, mnapenda sifa za kijinga tena za uwongo, mna ukabila, mnapenda sana ligi tena mnataka kushindana na makabila zaidi ya 120 ya Tanzania. Kwenu kuna umaskini hakuna rasilimali yoyote, hakuna ardhi kusema mlime, kwanza ni wavivu wa kulima mnapenda short cut muuze vifaa vya kichina, mfanye umachinga, mchome nyama, mpike supu, mkaange chipsi ndiyo kazi yenu.

Hakuna bahari wala ziwa kwenu kusema mvue, hakuna ufugaji wowote mna uchumi gani?. Nyie mtaendelea kuishi kama wakimbizi ndani ya Tanzania. Mwezi wa 12 mnarudi kwenu kwenda kuwaonesha ndugu zenu mliowaacha mlichovuna mnavyopenda sifa. Kingine ni kwenda kuzikwa kwenu. Matajiri wa kichaga ni wachache sana kulinganisha ni population ya wachaga, wachache sana. Acheni show off na sifa za kijinga, sifa ya tajiri wa kweli ni siri hapendi kujionesha, ni maskini tu ndio hupenda kujionesha na kujisifu ndiyo sifa yenu.
Umeongea pumba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole
 
Kumbe Takwimu zako unazitoa kwa zitto kabwe???
ni mchumi msomi anaejua kkufanyia research ya mambo ya national economy kwa msaada wa reliable sources kama national bureau of statistics...

i hope umeenda kupewa formula ya pato la taifa, siku nyingine usiwe unakurupuka kudhani kodi zinazokusanywa pekee ndio zinachangia national income
 
ni mchumi msomi anaejua kkufanyia research ya mambo ya national economy kwa msaada wa reliable sources kama national bureau of statistics...

i hope umeenda kupewa formula ya pato la taifa, siku nyingine usiwe unakurupuka kudhani kodi zinazokusanywa pekee ndio zinachangia national income
Mimi wahaya nawafahamu vzr...biashara wapo baadhi wanafanya na wengine wana makampuni makubwa tu....

Wengi biashara hasa hiz za uchuuzi hawafanyi kwa sababu zimejaa wizi, rushwa, utapeli na ukwepaji kodi....wahaya huwa wako royal sana..wanavalue sana furaha ya moyo kuliko wingi wa hela but no real furaha kama wachaga walivyo...wachaga wanapesa nyingi tu wengi lakin hawana furaha kabisa...na wanajificha katika kufanya kazi sana...hio yote wanajua hela hizo walipozitoa...


Ukifanya analysis vzr wachaga hutamani sana na kuwa karibu sana na wahaya ( unaosema wanakumbatia elimu)...kwa sababu ni watu ambao hata ukimkuta tajiri muhaya utakuta utajiri wake ni halali mno..

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada wkt anaanza alitahadharisha kuwa yeye sio miongoni mwa hayo makabila

Lkn utetezi wake unaonesha yeye ni wakabila hilo aliloanza nalo

Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upite.[emoji3061]
 
Mtoa mada wkt anaanza alitahadharisha kuwa yeye sio miongoni mwa hayo makabila

Lkn utetezi wake unaonesha yeye ni wakabila hilo aliloanza nalo

Ukitaka kuona nyeti za kuku subiri upepo upite.[emoji3061]
Hata hivyo ni kweli kabisa anachosema,
 
Nikwambie ukitaka kujau hawa mabwana hawana kelele nenda CRDB kahama ukaone magunia ya fedha yanaingia bank!
Lakini wenzangu na mimi akiotea milioni kumi kila mtu atajua!
Mtu yeyote mtafutaji nchi hii hawezi kusema msukuma hana hela!
Wateja wa bidhaa za hao matajiri wa hapo mwanza majority ni wasukuma halafu mtu anakuja kusema hawana hela!
Flight nyingi za ndege tanzania zinahusisha jiji Mwanza ambapo watu wa simiyu,shinganga,geita na musoma hushukia hapo je katika hao wengi ni akina nani?
Yupo jamaa anaitwa Ignas pale Geita ni ni tajiri wa kutupwa. Eti wakurya ! Mkurya gani tajiri hapo Mwanza ?
 
Tatizo la wasukuma ni ushirikina sana, wanavyohamia sehemu wana waganga wao kabisa wamebeba matunguri, pia maendeleo inakuwa changamoto kwasababu wanazaliana sana, mama moja watoto nane.. Kwenye biashara nako wananishangaza, kuna sehemu niliwahi kwenda wafanyabiashara huko geita wamefunga maduka kisa kuna mgeni kafungua duka wanashinikiza mgeni awape kreti moja lasivyo hawafungui maduka
Eti maendeleo changamoto aliko msukuma, wewe hujui kitu gani. Hujui usukumani kila siku inazaliwa miji midogo kwa sababu Msukuma anachapa kazi. Nenda Katoro, Lamadi, Masumbwe, Lunzewe, Lwamgasa n.k. nenda sasa huko uchaggani au kwa hao wakinga wenu ni wapi kuna miji ya biashara inazaliwa ? Msukuma kila kitu yupo, utajiri yupo, elimu yupo, kilimo yupo, ngoma za kienyeji yupo, ushamba yupo. Chezea sukuma weye.
 
Back
Top Bottom