pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Yaaan na ......yoteee unawaza kutoka Congo hahahaaaUna lolote la kuongea kwa kiwango cha leo cha DRC na mechi ya tatu itakayo kiwa zidi yetu.... au ndio tuwe wazalendo maana daaaaahhhh sijui kama tutatoka kwa DRC.
Watu wamekula draw wakapiganaNdenge nini? How are you in lingala
Kumfunga Morroco tusahau kabisa maana jamaa Wana mpira mkubwa sana Naona watafika mbaliKwa matokeo haya matumaini ya taifa stars kusonga mbele yanazidi kupotea. Mechi ya mwisho DRC watacheza kufa na kupona washinde wafikishe point tano
Hawajui mpira waleBaaaraaaaaaa
Watu wamekula draw wakapigana
Na sub zake kaingiza vitoto vitupu kipind cha pili zimemkostiHiv hii ni Ile Morroco ya kombe la Dunia au hii ni nyingne mbona wanaonekana wakawaida sana
Waarabu hawajawahi kuwa na hawatakuwa Ndugu zangu
Hahaaaaahaaahh huwa napenda sana kutembelea jukwaa la mikeka betting aiseee Timu huwa zinatukanwa sana ilifika mida ya saa 4 usikuwatoto wa mama kizimkazi mda wetu wa kutukana unakuja
Madrid ni king of the come back, sasa katupia kimoko. Ngoja tuone kama atakamilisha Come back.Madrid kalambwa naye Bayern kalambwa
watu wanachomoa izi goli subiri tisini Toni kachafuka kweli kweliMadrid ni king of the come back, sasa katupia kimoko. Ngoja tuone kama atakamilisha Come back.
Bayern kazingua, Leverkusen inachekelea tu
Walikuwa wanacheza hovyo sanaWaarabu hawajawahi kuwa na hawatakuwa Ndugu zangu
Hilo linawezekana kwa sababu ya uwepo wa best loserHaya mashindano unaweza kufuzu raundi ya 16 bora kwa pointi tatu tu.
Hata ikitokea Waarabu wanacheza na nyio Utopolo, I will side with you πππWalikuwa wanacheza hovyo sana
Real 2 ALM 2Madrid ni king of the come back, sasa katupia kimoko. Ngoja tuone kama atakamilisha Come back.
Bayern kazingua, Leverkusen inachekelea tu
ππ€£π€£π€£ Nakuunga mkono hojaHata ikitokea Waarabu wanacheza na nyio Utopolo, I will side with you πππ
[emoji23]Kwmb mkuu ilo ndp liwe lengo mama la kwnz kbs tujarb kwnz kulilenga lango la mpinzan tu kwnz[emoji23][emoji1430]Leo tujitahidi walau tupate shot on target