2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Sunzu huyu na Sunzu wetu aliyecheza na akina Okwi na Boban ni ndugu?
Ndio ni mtu na mdogo ake Tena huyu Sunzu aliye kwenye Mechi ya leo alikuepo kwenye ubigwa wa 2012 na Zambia na kacheza hadi English leauge na Reading sio mchezaji mwenye profile Ndogo pamoja na kwamba ni Mzee
 
wakwanz kutumia ni sisi....south wameanz kutumia baada ya mkaburu kuondoka
Wimbo walikuwa nao na ndio ulikuwa inatumika katika harakati za kugombania uhuru. Kilichobafilika baada ya uhuru wao waliongeza kipande Cha lugha ya kiingereza na kikaburu hivyo wimbo UKAWA na lugha nne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…