Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Mwnyw ndo maombi yangu atokee bingwa wa bila kudhania.watoke tu ili makubwa yabaki machache tupate Bigwa wa ajabu kama mwaka 2012
Gambia umaliziaji wanakwama sanaHii chuma hii..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hoja yako ina mashiko, ila kwangu ni tofauti.unafanya kazi Posta afu unaishi Goba unategemea nini vitu vizur lazima uvikose kwanin usishi ata apo Ferry kigamboni jokes lakini
Yeah kapoteza matumaini kabisaEtoΕ anaweza akalia hapa..
Hahaha ndio kamuweka bench Onanakipa.laoo lipo vizur
kigamboni wanateseka tu na mipantoni yao mibovu pantoni linajaza watu had mlangoni kabisa mara litake kwenda zanzibar mara lizime katika ya maji afu wakati huo huo limebeba vyuma vya IFM siku nikiskia limezama naingia kujiokotea Binti mmoja wa IFM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hoja yako ina mashiko, ila kwangu ni tofauti.
Na hata hapa nilipo, km nikitaka kutazama naweza ila aaah sijisikii kabisa.
Umenikumbusha, Ferry, mwembe radu, tuamoyo, msikiti wa wapemba.
Ila kigas bhana, woiiiih.
Sawa mkuuAngalia hii ta Guinea vs Senegal hii ya motooo
pressure ni kubwaYaan Cameron wameshajikatia tamaa sioni kabisa kujituma.
Etoo anadai onana sio mzalendoHahaha ndio kamuweka bench Onana
Kumbe ilianza saa mbili? Nishakosa first halfAngalia hii ta Guinea vs Senegal hii ya motooo
Cabo verde Hujawaona?Hadi sasa sijaona kama Senegal.