Haina msaada hadi Guinea akipigwaila refa kashapewa bahasha na Etooo
Huku World Cup 2026 hacheziMane anakosa goli la wazi,kale kabinti tayari katakua kanamaliza nguvu zake kitandani
Wakishinda watapita tu kumbuka kwenye makundi 6 best losers (washindi wa 3) watapita wanneHaina msaada hadi Guinea akipigwa
ila Tanesco kama Nida na Mwendokasi tu wanamambo ya kipuzi sanaTanesco konyo sana[emoji57][emoji57][emoji57]!
Naangalia boli kwa DSTV stream [emoji144]
+ DAWASA + TFFila Tanesco kama Nida na Mwendokasi tu wanamambo ya kipuzi sana
Yani hovyo sanaila Tanesco kama Nida na Mwendokasi tu wanamambo ya kipuzi sana
Sasa Cameron wanacheza huku wanaombea Senegal ashinde.
jamaa inaonekana halijaaza kuchapa mana siku limefunga Ndoa kesho yake lipo kambiniHuku World Cup 2026 hachezi
Hahahaa inamaliza nguvu z miguujamaa inaonekana halijaaza kuchapa mana siku limefunga Ndoa kesho yake lipo kambini
Si Mpaka wakaze mafuvu washinde sasa dakika bado ujueCameron anaweza akapita aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kigamboni wanateseka tu na mipantoni yao mibovu pantoni linajaza watu had mlangoni kabisa mara litake kwenda zanzibar mara lizime katika ya maji afu wakati huo huo limebeba vyuma vya IFM siku nikiskia limezama naingia kujiokotea Binti mmoja wa IFM