Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Tusubiri tuone huo uzoefu wao hapo baadaewale wazoefu mim bado na imani nao sana
afu walivyo wanamajabu unashangaa wamefika fainali Ghana Ndio identity ya African footballTusubiri tuone huo uzoefu wao hapo baadae
Kweli wanacheza mpira mzuriShoe shine and amapiano naomba kujua kocha wa msumbiji anatokea nchi gani maana nauona mpira wa mamelod unachezwa humu ndani tatizo namba kumi na tisa hawana kasi
Kabisa.Wewe ni mmakonde ?
Kocha ni Mmakonde PiaShoe shine and amapiano naomba kujua kocha wa msumbiji anatokea nchi gani maana nauona mpira wa mamelod unachezwa humu ndani tatizo namba kumi na tisa hawana kasi
usiwazarau wew Nigeria bado wapo vizuri game yao leo haikua nyepesi wale jamaa wapo vizuri sio kama Ndugu zako starsNigeria pumbavu zenu
Kocha wao naye ni mzawa wa hapo hapo.Shoe shine and amapiano naomba kujua kocha wa msumbiji anatokea nchi gani maana nauona mpira wa mamelod unachezwa humu ndani tatizo namba kumi na tisa hawana kasi
Unataka kumaanisha nini ?Kuna ndege nyavuni mle.
refa hajamwona?
Njiwa anasaidia kulinda golKuna ndege nyavuni mle.
refa hajamwona?
Nilichogunduausiwazarau wew Nigeria bado wapo vizuri game yao leo haikua nyepesi wale jamaa wapo vizuri sio kama Ndugu zako stars
Daaah. GoaaaaaaaaaaalNilichogundua
Licha ya ufundi pia mwili mkubwa unasaidia
Jamaa wana mwili sana wanagongana sana mwilini sisi wetu akina bajana wafupi kweli
Stars bingwa mkuu atacheza na Nigeria final hahahahahab