2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Shoe shine and amapiano naomba kujua kocha wa msumbiji anatokea nchi gani maana nauona mpira wa mamelod unachezwa humu ndani tatizo namba kumi na tisa hawana kasi
Kocha wao naye ni mzawa wa hapo hapo.
Yaani team nzima ukitoa wachezaji wa 3/4 waliobaki ni wachezaji wa ndani.
Wamejazana Ud songo na maputo. (Simba na Yanga zao)
 
usiwazarau wew Nigeria bado wapo vizuri game yao leo haikua nyepesi wale jamaa wapo vizuri sio kama Ndugu zako stars
Nilichogundua
Licha ya ufundi pia mwili mkubwa unasaidia
Jamaa wana mwili sana wanagongana sana mwilini sisi wetu akina bajana wafupi kweli

Stars bingwa mkuu atacheza na Nigeria final hahahahahab
 
Nahisi Taifa Stars ndio watakuwa kibonde kutoka ukanda wetu huu 🥹🥹
 
Nilichogundua
Licha ya ufundi pia mwili mkubwa unasaidia
Jamaa wana mwili sana wanagongana sana mwilini sisi wetu akina bajana wafupi kweli

Stars bingwa mkuu atacheza na Nigeria final hahahahahab
Daaah. Goaaaaaaaaaaal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…