Komba the Great
JF-Expert Member
- Apr 25, 2016
- 340
- 654
Wachambuzi wa Mchongo😀Haya Wachambuz wenzangu Usiku mwema tukutane tena badae,🙏🏿
Angola si rahisi kumtoa nigeriaMm natk Angola awatoe warud tu nyumbani.
Mpr wao ni wa kihuni.
Angola Anaweza Msumbua, Japo hawana Mchezaji yeyeto mwenye Profile kubwa.Wamekutana na Cameroon inashambulia kama stars. Wakikutana na timu inayojua kushambulia watakula nyingi sana.
Hakuna wengne ndo hawa hawaAwa si makundi walidroo zote?
Sema wakina Mabululu wakiwapiga msako wa maan Hwa wa Niger ule wa unatoa hutoi.. Hawa Nigeria wanaweza kutupwa nje.Angola si rahisi kumtoa nigeria
Ila kesho nina hatihati maana umeme hujakatika maeneo yetu najua tu hawa wakimbizi tanesco watakata
Hivi Simba Queens na Yanga Princess nani anafanya vizuriHuyu Song apewe Simba Queens afundishe wenda kuna kitu atapata
Nilikuwa nawaza hiki kituOnana anaweza akaiwahi mechi ya baadae ya Man Utd[emoji1787][emoji1787]
Bad news hii
Rigobert Song hajawahi kuwa mchezaji wa maana. Huwa sielewi kwa nini Cameroon wanamuheshimu.
Chaguo sahihi. Yuko vizuri
Huyo Onana hakuna mechi amecheza kameruni ikashindaEtii Onana ana kuna kichwa jamaa nafiki hili
Wote walewale tu mkuu. Hakuna yeyote aliyekuwa na fiteness wala mpira wa akili.Mpira ingekuwa ni ukubwa wa mwili cameroon angeshinda lakini fitness , speed na akili ndiyo vimefanya Nigeria ashinde kirahisi .
Song sijajua style ya ufundishaji wake lakini alipata wapi uhuru wa kumwacha striker Eric chepong motin wa Bayern Munich mbele akaweka watu wanaokimbia kimbia bila plan yoyote?
Nitashangaa sana kama Samuel etoo atamwacha song bila kumfukuza .
Hapa ulitaka kusema nini?😂Huyo Onana hakuna mechi amecheza kameruni ikashinda
Huyo Dili ya Kufundisha Cameroon Alipewa na Swahiba Ake Etoo, Ila watu walipiga Kelele saana,Ni nadra sana wachezaji wenye vipaji average kuja kuwa makocha wazuri. Nafikiri mwaka jana niliwahi kuhoji weledi wa Rigobert Song kuwa kocha.
Song kiwango na uchezaji wake ulikuwa kama huyu Kennedy Juma tu tena afadhali Kennedy ana nidhamu. Siyo wachezaji wabaya ila position wanayocheza na style zao inakupa mashaka uwezo wao wa kuja kufundisha wengine kwa mafanikio.
Upewe maua yako🤣Tanzania tunamaliza na point 2, Bingwa atakuwa Egypt,
Na hatutoki sasa😅japo kombe hatuchukuiMm natk Angola awatoe warud tu nyumbani.
Mpr wao ni wa kihuni.