Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Matondi mingi mpo na mosala makasi oyo bozali kosalaKila la Heri batu ba fasi ya congo...
Wachezeshe ile ndombolo ya soloo mpka presha nangai iwapande waarabu koko...
Nilifikiri nimeona peke yangu😂😂😂Hivi ni mchezaji wa timu ipi yule karibia na mapumziko alikuwa anabinua makalio mbele ya camera pale benchi? Kama ni wa EQ G, basi hakuna haja ya kutafuta sababu kwa nini wamefungwa 😀😀😀
Naunga mkono hojaKila la kheri Inonga Baka
Nimetahadharisha tu waebrania wamepewa kazi ya kuwakanda miguu mafarao, Leo farao atakuwa kama ndimuWaarabu hawanaga mzaha na mtoano.
Kikosi tayari?Mayele na Inonga substitute
Paka kati ya mechi 10 alizotabiri 7 imekuwa kweliHuyo Paka Nimemuona Hadi Sasa Itakuwa Ametabiri Kinyume Sana.
Equatorial Guinea Katoka Kwahiyo Congo Na Yeye Ajiandae.
Yeah akitokea bench wamoto.Mayele asianze achezewe kuanzia dk 65
Sema yule jamaa anayechukua namba yake wanamkuza sana sioni kiwango cha kutisha cha kumuweka mayele njeYeah akitokea bench wamoto.
Tuko pamoya mtaniMatondi mingi mpo na mosala makasi oyo bozali kosala
Asante sana mtani wangu Hawa waarabu hawatoki nawapiga magoli mingi hapo juu nimeandika na lingala Kabisa yaani maana yake ni Asante sana kwa sapoti mtani wangu