King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,077
- 2,705
Ni kapya.Haka kauwanja katamu
Mhhh yule atakuwa kachekecha kaona atabebeshwa lawamaMo Salah ana injury??
Laurent Pokau Stadium, San Pedro mkuu.. seat 20k tuHaka kauwanja katamu
Bataokota benyeweBatu ba kongo...
wanaruhusu sana Misri kutawala mpira
Congo anasakwa vibaya mno naona keshaingia kwenye mfumo.
Watapigwa kwa munyavu dakika si nyingiBataokota benyewe
Kama Misr akitoka Leo,kesho utamuona FA anakiwashaSALAH ana majeraha?
Hapana Congo nao bako musuriWatapigwa kwa munyavu dakika si nyingi