Wenyeji Wanakaza buti wasiaibike ! Kwa SenegoWe huoni wanvyokimbizwa mchakamchaka?
Senegal anapigwa hii mechiWenteji Wanakaza buti wasiaibike ! Kwa Senego
Hawachomoiii
Uweee nani kasemaSenegal anapigwa hii mechi
Wewe upo senego mkuu?KUMBUKA Kuwa SENEGAL hajawahi kumfunga CIV.
Akishinda leo ndio itakuwa mara ya Kwanza
Tulia ushuhudie kwa macho yako Senegal anavyopigwa leoUweee nani kasema
Binti kama Yule lazima kamwaga nanih nyingi sana. Na hapo ndio nguvu kwishaSadio tokea aoe basi tu.
Kabeeesa asee! Waongeze lapili walauSenegal wapige la 2 mapema.
Hawa wehu wanaweza bahatisha wakasawazisha.. Hlf ikawa jau tuanze kulala usiku wa manane siku ya 2 mfululizo.
Napenda washinde.Wewe upo senego mkuu?