The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
Betrand TraoreJaman goli la burki nabe kashinda nani?
Betrand Traore penaltyJaman goli la burki nabe kashinda nani?
Daah mechi inaonekana ilikuwa tamu ki awahi kurudi tuBetrand Traore
wote wanacheza kwenye counter mechi hata haijwaha nzurDaah mechi inaonekana ilikuwa tamu ki awahi kurudi tu
unajua mpira wew inabidi utaftwe nafasi kwenye timu ya wanawake ni kweli kabisa Aziz ki kaleta impact dakika chache izo alizocheza hasa kwenye long ball ilibaki kidogo wachomoe goliKocha wa Burkina Faso ajilaumu mwenyewe, kwa huu muda alioingia Aziz Ki ameweka pressure kubwa na kosa kosa nyingi.
Mechi ya mwisho yeye ndio alikuwa kinara kwenye timu yao, sijui kwanini hakufikiria kumpa nafasi mapema.
Hata hivyo nipo Mali, yote ni kheri.
2021 walifika Robo au Nusu msimu huu safari imekua Ngumu kidogoDah burkina faso katolewa
Labda ni ubaguzi kwa wachezaji wanaocheza ligi za afrika.Kocha wa Burkina Faso ajilaumu mwenyewe, kwa huu muda alioingia Aziz Ki ameweka pressure kubwa na kosa kosa nyingi.
Mechi ya mwisho yeye ndio alikuwa kinara kwenye timu yao, sijui kwanini hakufikiria kumpa nafasi mapema.
Hata hivyo nipo Mali, yote ni kheri.
Sasa amevuna alichopanda. Angeingia mapema huenda tungekuwa na habari nyingine sasa hivi.Labda ni ubaguzi kwa wachezaji wanaocheza ligi za afrika.