OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hongera naona unakichafua tu🤣😁😂Mkuu Mimi mimeishi Lubumbashi miaka 15 kuongea lingala na kifaransa ni kitu cha kawaida sana kwangu
haaaaa unataka kuninua sasa sema nin Hongereni ila mkifungwa mechi ijayo utakuja kunichukia sana wew omba tu muendelee kushindaView attachment 2892698
Unavaa jezi nyeupe au blue chagua Moja nikuletee au kama upo kigamboni njoo pm nakupa hiyo nyeupe
Siyo kwamba atakutana na mmoja kati ya Cabo Verde au South Africa, hao Nigeria na Congo siyo kwamba wanakutana wenyewe, ama wamebadili hiyo trend inavyoendaMbona kama umejichanganya? Afike au avuke semi?
Maana akishinda leo anafuzu semi ambako atakutana na Nigeria au DRC.
aisee hivyo ni vyuma,ongeza hapo na mguu wakusho wa gael kakuta...ila huyu mwamba wakuitwa CHANCEL MBEMBA baba mwenye nyumba ni mtu haswa!Moutosammy
Kayembe
Masuaku
Bongonda
Hii miguu ya kushoto noma sana.
Hapana, google uone.Siyo kwamba atakutana na mmoja kati ya Cabo Verde au South Africa, hao Nigeria na Congo siyo kwamba wanakutana wenyewe, ama wamebadili hiyo trend inavyoenda
south africa hana mpira wa kumfunga cape verde hii niliyoiona, morroco walishindwa tu kutumia nafasi walizozipata dhidi ya south lakini kwa ujumla walikua bora sana!....cape verde wanacheza mpira wakikireno huwa naenjoy kuwatazama kwakweli!Siku imeisha vizuri, bado sasa timu yetu ya Taifa sisi Wananchi, Mali…
Sijui itakuwaje?
Na vile vi Cape Verde vipigwe nyingi kelele zipungue.
South atapita hata kwa papatu papatusouth africa hana mpira wa kumfunga cape verde hii niliyoiona, morroco walishindwa tu kutumia nafasi walizozipata dhidi ya south lakini kwa ujumla walikua bora sana!....cape verde wanacheza mpira wakikireno huwa naenjoy kuwatazama kwakweli!
Tukutane 23:00south africa hana mpira wa kumfunga cape verde hii niliyoiona, morroco walishindwa tu kutumia nafasi walizozipata dhidi ya south lakini kwa ujumla walikua bora sana!....cape verde wanacheza mpira wakikireno huwa naenjoy kuwatazama kwakweli!
Itabidi uwatoe weweCongo leo inabidi watoke
Kinshasa na Katanga iliko Lubumbashi ni amani tele,halafu hao wachezaji wako Ulaya na kwingineko hawako DRC.mfano ni Inonga,Mayele,Makabi Lilepo.Wissa yuko EPL na wengineo wako huko Ulaya.Hivi kongo wanapata muda upi wa kujifunza mpira na mazoezi kila siku vita
Mbna nchi zinazosifika kwa aman[emoji1787][emoji1787] hawajui nn wanafanya
Hasibu la Mchongo .Eti Mimi Yanga! Labda upeleke mzigo Yanga na sinvinginevyoMimi ni Yanga ila Inonga hakuna beki wa kumfikia AFCON nzima
Angecheza England?Wisa hana kitu...hajui...
Alikuwa anabambia pisi kaliiii[emoji23][emoji23][emoji23]mwamba alitisha sana
Kwenye michuano hii ya afcon hakuna anachokifanya...Angecheza England?
Mafundi Hawa jamaa wanajua sana mpiraaisee hivyo ni vyuma,ongeza hapo na mguu wakusho wa gael kakuta...ila huyu mwamba wakuitwa CHANCEL MBEMBA baba mwenye nyumba ni mtu haswa!
Leo mtashinda leoBafanabafana tunashuka dimbani Leo...
Mwendo ni ule ule Amapiano for everybody 🔥
Kwa mbinde kaka jamaa hawa ni wagumu balaa...Leo mtashinda leo