Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Wale wenyeji Kuna ulakin haiwezekani wale tia Maji tia maji sanaHee...sabini tayari .kaahh
Ila ngoja tuone
Juzi wenyeji walirudisha dkk ya 90
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wote WaarabuDah kweli.. akili ilikuwa inawaza Mwarabu 🤣🤣
Hawa Super Eagles kocha wao tangu michuano ianze anacheza mpr very strategic hauvutii Sana lkn unawaona wako compact Sana jinsi wanavocheza na ndo maana unaona hawajaruhus Zaid ya goal had ss kwny mchezo(kama sijakosea)Umeongea
Na watoto zanguMnataka na kina nani
Aliambiwa asipofika Nusu final anatemwaHawa Super Eagles kocha wao tangu michuano ianze anacheza mpr very strategic hauvutii Sana lkn unawaona wako compact Sana jinsi wanavocheza na ndo maana unaona hawajaruhus Zaid ya goal had ss kwny mchezo(kama sijakosea)
Kocha ame set hii team icheze mpr wa kimashindano Sana kuwatoa ni ngumu Sana.
Wakizubaa team zilizobak hii Nigeria watarud nalo kwao.. Na kelele zake hapatatosha walivo wengi Dunian humu.
Bas ndo maana anacheza mpr wa hesabu nyng Sana.Aliambiwa asipofika Nusu final anatemwa
Yaani Wana bahati Sanaa ujue Wale wenyejiWale wenyeji Kuna ulakin haiwezekani wale tia Maji tia maji sana
Pale walipofika kimazabe sana[emoji2]
Akipita hapa anabeba...Bas ndo maana anacheza mpr wa hesabu nyng Sana.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]km wahindi Hawa Wana vurugu mnoooo...Hawa Super Eagles kocha wao tangu michuano ianze anacheza mpr very strategic hauvutii Sana lkn unawaona wako compact Sana jinsi wanavocheza na ndo maana unaona hawajaruhus Zaid ya goal had ss kwny mchezo(kama sijakosea)
Kocha ame set hii team icheze mpr wa kimashindano Sana kuwatoa ni ngumu Sana.
Wakizubaa team zilizobak hii Nigeria watarud nalo kwao.. Na kelele zake hapatatosha walivo wengi Dunian humu.
Wana fujo Sana na ni wengi wamesambaa Dunian kote.. Mitandaon ndo usiseme kbs.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]km wahindi Hawa Wana vurugu mnoooo...
Tutakoma mbonaaaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nigeria hii Nzuri lkn imekosa udwambwi udwambwi tuliouzoea miaka ya nyumaHawa Super Eagles kocha wao tangu michuano ianze anacheza mpr very strategic hauvutii Sana lkn unawaona wako compact Sana jinsi wanavocheza na ndo maana unaona hawajaruhus Zaid ya goal had ss kwny mchezo(kama sijakosea)
Kocha ame set hii team icheze mpr wa kimashindano Sana kuwatoa ni ngumu Sana.
Wakizubaa team zilizobak hii Nigeria watarud nalo kwao.. Na kelele zake hapatatosha walivo wengi Dunian humu.