Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #12,461
Leo ni Monday kesho Tuesday
Yeees! Finale imeanza rasmiFinal iwe nzr walau
Yn hta kauli haijafika mbl goli limerudi. Hii mechi itaisha dk 90 kuna timu tu itafungwa hpaaHuyu kipa wa nigeria yupo vzr, ivory coast wakiendelea kupush hv watasawazisha
Huyo dogo akiwa serious atakua mchezaji mkubwa badae.mpira anao anahitaji ukomavu tu.Adingra msumbufu sana
Na anapata kweliNahofia best loser atapata goli
Nigeria Sidhani Kama Watatoboa Kuna Penalty Ya Ivory Coast Dakika Za Jioni1-1 tayari labda wazidiwe
utalala wew ivory coast game tunashinda 90minWanataka kutulaza saa nane hawa
Hao ndo matoz ya AFCONNigeria Wananichanganya Wapuuzi Hawa Wamebweteka Sana
Sebastian HALLER ameisha sana sio yule wa DORTMUND
waongeze umakini ili kua kwao nyumbani kuonyeshe thamani.Ila hata km ikatokea wakafungwa, wanastahili pongezi. Yn toka best looser hd fainali n wamepambana sn kufika hapo
Hawajui kama tupo msibaniWanataka kutulaza saa nane hawa