2024 uwe mwaka wa Mbowe kuona aibu na kug'atuka. CHADEMA irudi kwa wazalendo kiuhalisia

Sio vibaraka wanaomuabudu Mbowe kama Mwaipaya na dogo wa Mwanza ndio wabaki kufurahia upuuzi.

Chama kinatakiwe kiwe mikononi mwa wazalendo kikwelikweli.

Chama kinatakiwa kije kukamata dola.

Siasa siasa za kibiashara tu.

Katika hao wazalendo unaofikiri wachukue uenyekiti kutoka kwa mbowe wanaweza kuwa wagumu kama Mbowe hata akibambikizwa kesi na kuishi magereza yuko tuu imara wala hayumbi au unataka kuwapa uenyekiti wale jamaa ambao wakitishiwa kidogo tuu kesho unasikia wanaunga mkono juhudi HONGERA SANA MBOWE MIMI BINAFSI NAKUKUBALI HATA UKIONGOZA MAISHA UPINZANI BADO UKO UTAKUWA IMARA TANZANI CONGRATULATIONS CHAIRMAN MBOWE
 
Mbowe kuwa kiongozi wa CHADEMA kwa Miaka kibao,kuna liletea hasara zipi Taifa?
Sasa nyie watoa taarifa leteni taarifa ni faida gani taifa limepata kwa hii miaka 30 ya uongozi wa huyu mlevi wa taifa.
 
Pandikizi la sisiem likingatuka ni majonzi kwa SISIEM A na Sisiem B(chadema)

Lakin atoke aende wap wakat chama ni mali ya baba mzaa chema
 
FAM anakaribia umri wa mfalme Daudi aliomiliki na kutawala Israeli Kwa miaka 40!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…