2024 uwe mwaka wa Mbowe kuona aibu na kug'atuka. CHADEMA irudi kwa wazalendo kiuhalisia

Sio vibaraka wanaomuabudu Mbowe kama Mwaipaya na dogo wa Mwanza ndio wabaki kufurahia upuuzi.

Chama kinatakiwe kiwe mikononi mwa wazalendo kikwelikweli.

Chama kinatakiwa kije kukamata dola.

Siasa siasa za kibiashara tu.
Mbowe hatatoka kwa matakwa ya mashoga ya makonda na dpworld, bali matakwa ya wanachama.
 

Umedanganya Mbowe hajafikisha miaka zaidi ya 30. Muwe mnaongea vitu mnavyovijua sio unafiki. Unadai wewe ni mwanachadema na hujui mwenyekiti wako kakaa muda kiasi gani madarakani.
 
Punguza ujinga.....!! Kama sijagombea ndio iwe mwanya wa yeye kuongoza chama zaidi ya miaka 30?. Hivi Wtz tuna akili timamu kweli?.

Punguza uongo. Hivyo miaka zaidi ya 30 umeitolea wapi?. Au unajisikia kutaja.
 

Si ukagombee wewe nani kakuzuia?.
 
Sio vibaraka wanaomuabudu Mbowe kama Mwaipaya na dogo wa Mwanza ndio wabaki kufurahia upuuzi.

Chama kinatakiwe kiwe mikononi mwa wazalendo kikwelikweli.

Chama kinatakiwa kije kukamata dola.

Siasa siasa za kibiashara tu.
Kamanda Mchovu umetumwa wapi na nani na kwa maslahi yapi,tuachie chama letu bora,ambalo fisadi,chawa,mkwapuaji,legelege,vivu's,chukua chako mapema,Tumbo souce a.k.awala kwa urefu wa kamba zao hawana nafasi.Nafasi katafute kwa wana chukua chako mapema 😅
 
Chadema ina wanachama zaidi ya 5M+wafuasi kibao!. Kuendelea kuongozwa na mtu mmoja ndani ya miaka 30+ ni ujuha na utahira wa wanachama.
MBOWE LAZIMA 2024 UACHIE NGAZI.. WAPE WENGINE NAFASI UMETOSHA.

Wewe ndio tahira. Hata hujui Mbowe kachaguliwa lini kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Umebaki kuropoka eti miaka zaidi ya 30. Shida mnadakia mambo hamjui yalipoanzia.
 
Nimemuuliza huyo jamaa Mbowe kachaguliwa lini kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kakimbia. Sitetei Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA lakini unapotoa shutuma uwe na ushahidi. Mtu anakurupuka huko kitandani eti Mbowe kakaa madarakani zaidi ya miaka 30.

Kwanza lazima ujue Mbowe alikuwa mwenyekiti wa BAVICHA miaka ya tisini kipindi hicho CHADEMA kilikuwa Chama Cha kawaida hakuna mwenye muda nacho, kulikuwepo na NCCR, CUF na baadae kidogo TLP. Sasa mtu aliyejitolea kubaki kwenye chama ambacho halina uungwaji mkono na kupambana mpaka limefika hapa lazima umpe heshima yake.
 
Duuu Yani unamshauri mleta mada aonje sumu kwa kuilamba
 
Umemuona mboye tuu sio,CHADEMA tuu ndio chama cha upinzani chenye mwenyekiti aliyekaa mda sio,WANACHADEMA hawajasema aondokeee ,inakuuma nini
Ni hivi. Ukisikia CCM wanataka kiongozi fulani aondoke basi ujue huyo kiongozi ni mzuri na ana maono. Endeleeni naye. Ukisikia wanamsifu na kusema aendelee kuongoza basi mtoeni haraka sana.
 
Wewe ndio tahira. Hata hujui Mbowe kachaguliwa lini kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Umebaki kuropoka eti miaka zaidi ya 30. Shida mnadakia mambo hamjui yalipoanzia.
Hebu unayejua tuambie... Kwahiyo bado unataka aendelee kukuchagua viti maalum umpe tobo?
 
Sio vibaraka wanaomuabudu Mbowe kama Mwaipaya na dogo wa Mwanza ndio wabaki kufurahia upuuzi.

Chama kinatakiwe kiwe mikononi mwa wazalendo kikwelikweli.

Chama kinatakiwa kije kukamata dola.

Siasa siasa za kibiashara tu.
wewe??!!!🐒🐒
yaanni from nowhere wamuachie Chama huyu kibaraka wa magharibi labda sio aikaeli
 
Hii mada unaweza kuitumia kuzijua akili za wenzangu namimi wafuasi wa Chadema.
 
Kauli mbiu yao..Chadema alianza Babuu mpaka mjukuu..... mtamalizia wenyewe.
 
Jomba acha dharau kwa mwenyekiti wa chama chako. Sio kila kitu kinachomhusu mwenyekiti wako huko CHADEMA unakuja kupost hapa JF
 
Sio vibaraka wanaomuabudu Mbowe kama Mwaipaya na dogo wa Mwanza ndio wabaki kufurahia upuuzi.

Chama kinatakiwe kiwe mikononi mwa wazalendo kikwelikweli.

Chama kinatakiwa kije kukamata dola.

Siasa siasa za kibiashara tu.
Vipi kuhusu Lipumba na Cheyo?
 
Sio vibaraka wanaomuabudu Mbowe kama Mwaipaya na dogo wa Mwanza ndio wabaki kufurahia upuuzi.

Chama kinatakiwe kiwe mikononi mwa wazalendo kikwelikweli.

Chama kinatakiwa kije kukamata dola.

Siasa siasa za kibiashara tu.
Shughulikeni na ccm yenu. Chadema haiwahusu. Au undhani Mbowe ndio kikwazo cha kupatikana umeme wa uhakika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…