2025 atatoboa kweli!?

2025 atatoboa kweli!?

Mamlaka ya kiti cha uraisi yanapaswa yawe na Uungu ndani yake, katika Uungu hakuna kingine kilichojaa zaidi ya UPENDO (Agape).

Jinsi UPENDO wa Rais Samia unavyopoa ndivyo jinsi mamlaka aliyopewa na aliyonayo yanapoa pia.

Wamasai hawajazaliwa Ngorongoro kwa bahati mbaya na waarabu wa Dubai, Oman hawajazaliwa uarabuni kwa bahati mbaya.

Rais Samia anapaswa kutafakari yeye binafsi na kujifanyia tathmini akiona vipi asisubiri kama mbwai iwe mbwai bora astaafu zake kwa heshima 2025 arudi zake Kizimkazi tutaendelea kumpenda na kumuheshimu.
Paraghraph zako 2 za kwanza zilinifanya nifikiri ni chawa kazini ila mpaka mwisho wa comment yako nimekuelewa mno.

Tutaendelea 'kumpenda' akiwa mstaafu ila kwa sasa kama raisi inatosha kwa kweli. Samia akapumzike tu.
 
Ni vile tu hatuambukizani Akili,lakini ilikua wakati sahihi 25 kutoka stagini as a good dancer ila kwa tamaa atakazaa,Amepwaya sanaaa! PM nchii inamwihitajii aisogezee.
 
Mungu mwenyewe ndio anaejua anatufaa au hatufai hakuna mtu atayeweza kumbadilisha kiongozi wa juu ndio maana tunaambiwa tuitii mamlaka ila kwenye utawala kukiwa dhuluma iliyozidi vilio vya wengi ni Moja ya mambo ambayo Mungu huwa anasikia haraka sana anafanya maamuzi Mh rais usifanye michezo na vilio vya wamasai watu zaidi za laki moja wanakulilia wewe lakini tunakundi kubwa la gen z vijana Hawa Wana mengi mioyo yao
Mungu amekupa akili uzitumoe.Acheni kumsingizia Mungu kwa kila kitu.Mungu asingekata utumie akili angekuumba msukule.Nyie ndo nata kiongozi akifanya ujinga mnakubali....
 
Chawa na walamba asali kwa kupitia yeye wanampa moyo eti atatoboa 2025 ki ulaini kuliko wote walio mtangulia.

Wapo walio anza kuwa na mashaka ya jinsia yake ki uongozi na huku wakienda mbali zaidi kwa wao kuonyesha kujutia kuongozwa naye.

Atatoboa kweli ki siasa 2025?

Binafsi naliona giza ki siasa kwake
amejaribu kupunguza upinzani kwa kuwaleta akina Lukuvi...... nawaza hivyo
 
Chawa na walamba asali kwa kupitia yeye wanampa moyo eti atatoboa 2025 ki ulaini kuliko wote walio mtangulia.

Wapo walio anza kuwa na mashaka ya jinsia yake ki uongozi na huku wakienda mbali zaidi kwa wao kuonyesha kujutia kuongozwa naye.

Atatoboa kweli ki siasa 2025?

Binafsi naliona giza ki siasa kwake
Awal kulli ,

Nasema hivi...

Mbona mh.Rais SSH hana kazi ngumu hiyo 2025 in shaa Allah....

Katoka pagumu mno....mnoo...

Kuna ugumu kama "regime change" baada ya "sitting president" kutawafu ?!!!

Kwa nguvu za Mwenyezi Mungu na mizimu ya mababu wa taifa takatifu la Tanzania ,mh.Rais Samia alivivuka viunzi na leo ni raia nambari 1 wa JMT....

Lipi gumu tena ?!!

Lipi ?!!

2025?!! [emoji44][emoji44][emoji1787]

Geeez

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Uchaguzi ukiwa wa HURU na wa HAKI kati ya Samia na Lissu 2025, ni Tundu Lissu ndie ataibuka mshindi na kuwa Raisi wa kwanza kutoka opposition kama ilivyokuwa kwa Chiluba wa Zambia.

Lakini Samia akisimama na mwingine yeyote Samia anashinda asubuhi tu.
 
Chawa na walamba asali kwa kupitia yeye wanampa moyo eti atatoboa 2025 ki ulaini kuliko wote walio mtangulia.

Wapo walio anza kuwa na mashaka ya jinsia yake ki uongozi na huku wakienda mbali zaidi kwa wao kuonyesha kujutia kuongozwa naye.

Atatoboa kweli ki siasa 2025?

Binafsi naliona giza ki siasa kwake
Atatobolewa yeye
 
Chawa na walamba asali kwa kupitia yeye wanampa moyo eti atatoboa 2025 ki ulaini kuliko wote walio mtangulia.

Wapo walio anza kuwa na mashaka ya jinsia yake ki uongozi na huku wakienda mbali zaidi kwa wao kuonyesha kujutia kuongozwa naye.

Atatoboa kweli ki siasa 2025?

Binafsi naliona giza ki siasa kwake
Atoboe siri labda
 
Back
Top Bottom