Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni simu tu lakini siko hivyo🤣 mkuu kwa huo uandishi tutaitoa kweli..?
Simu tu lakini sipo hivyoKuandika tatizo, mnaitoaje?
hata mimi natumia simu mkuu!, umeeandika huku unafoka tatizo..😂Hii ni simu tu lakini siko hivyo
Naichukiaa jamaniCcm msijipe matumaini ya kisinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua ngivu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Kwan lazima uweka na neno "jamani"Naichukiaa jamani
😃😀😃😃Japo ni kweli ila ukilewa usichati mkuu, uandishi wako master.
Watanzania tuamkeCCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu
Nakua kuna kitu unataka kusema 🤪Kwan lazima uweka na neno "jamani"
Kipi hichooNakua kuna kitu unataka kusema 🤪
Kwa siasa za Wasira zilizopitwa na wakati anazidi kumwaga petroli kwenye Moto?CCM msijipe matumaini ya kushinda 2025 hakuna kijana tena msomi anawezq kiwapigia kura. Na mkiiba ndo mtajua nguvu ya vijana. Tumechoka sana. Hata ajira zinatolewa kwa kujuana tu