2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

2030 kuna uwezekano mkubwa Kafulila na Bashungwa wakapewa kijiti cha kuongoza nchi mama hatabiriki huko mbeleni

Kafulila kashindwa kuongoza familia ake ataweza nchi?
Mimi nimemfuatilia Kafulila kwa muda

Tukiacha chuki na misimamo yetu mbalimbali,

Kafulila ni miongoni mwavijana safi sana kwenye hili Taifa,

Kama ni nidhamu Kafulila anasifika
Kama ni utii kwa Viongozi Kafulila anasifika,

Kama ni kuchukia Ufisadi Kafulila anasifika

Kama ni kuwapenda Wastaafu Kafulila anasifika sana

Kama kujenga hoja Kafulila anasifika

Kama ni Uadilifu Kafulila anasifika

Kama ni Ukali Kafulila anasifika

Kama ni uelewa wa mambo mbalimbali Kafulila anasifika

Kama ni kupigana na Mafisadi makubwa ya kiwango cha Escrow Kafulila anasifika.

Kafulila kwangu ni kijana Bora sana.
 
Mimi nimemfuatilia Kafulila kwa muda

Tukiacha chuki na misimamo yetu mbalimbali,

Kafulila ni miongoni mwavijana safi sana kwenye hili Taifa,

Kama ni nidhamu Kafulila anasifika
Kama ni utii kwa Viongozi Kafulila anasifika,

Kama ni kuchukia Ufisadi Kafulila anasifika

Kama ni kuwapenda Wastaafu Kafulila anasifika sana

Kama kujenga hoja Kafulila anasifika

Kama ni Uadilifu Kafulila anasifika

Kama ni Ukali Kafulila anasifika

Kama ni uelewa wa mambo mbalimbali Kafulila anasifika

Kama ni kupigana na Mafisadi makubwa ya kiwango cha Escrow Kafulila anasifika.

Kafulila kwangu ni kijana Bora sana.
Huo ubora wake huwa unauona wewe pekee, kwa kifupi Kafulila ni janja janja mingi sn
 
Huo ubora wake huwa unauona wewe pekee, kwa kifupi Kafulila ni janja janja mingi sn
Labda unisaidie tu kujibu maswali haya machache

1. Sio Kafulila alirejesha zaidi ya 320bl za Escrow hata kutaka kuuwawa?

2. Je, Kafulila anatuhuma yoyote ya Rushwa tangu akiwa Mbunge,RAS,RC au Leo PPP?

Ukiweza kunijibu maswali haya nitaanini Kafulila pia janjajanja kama wengine
 
Tuanze kwanza hapa.. mama ni nani? Rais ni rais hamna cha mama wala nini.. kila mtu ana mama'ke
 
Labda unisaidie tu kujibu maswali haya machache

1. Sio Kafulila alirejesha zaidi ya 320bl za Escrow hata kutaka kuuwawa?

2. Je, Kafulila anatuhuma yoyote ya Rushwa tangu akiwa Mbunge,RAS,RC au Leo PPP?

Ukiweza kunijibu maswali haya nitaanini Kafulila pia janjajanja kama wengine
1. Hizo hela ziliporejeshwa ziliwekwa kwenye account ipi na zikafanya kazi gani?
2. Alitolewa Simiyu kwa tuhuma za kushirikiana na waarabu kuuza wanyamapori

Lini Kafulila amewahi kupinga uuzwaji wa raslimali za nchi kwa waarabu? Kafulila huwa anapiga kelele kama yeye hilo dili hajanufaika nalo
 
Ngedere apewe nchi gani hiyo?
Yule mwizi hafai hata kuongoza kijiji huko Kigoma, yeye anajua ulozi, wizi na fitna. Kijana ni mlafi wa madaraka ile mbaya.
 
Cha maana cha kuwakomboa watanzania ni KATIBA MPYA - kubadilisha ma Rais kushafeki kuleta mabadiliko yoyote chanya.

Mifumo yetu ya utawala ndiyo tatizo sugu.
 
Nikikumbuka zama za kina nchimbi walipokuwa na makundi ya uraisi walichofanyiwa na mzee wa msoga sitosahau. na nukuu "Mimi nilikuwa mpole Sana sasa nawaletea mkali".

Mama Samia kwa jinsi navyomuona 2030 huenda akafanya kama ya jk 2015 maana namuona siyo muongeaji anawaangalia vijana wake utendaji wao wanayoyafanya na kujikalia kimya 2030 siyo mbali wale tunaowaona wanapambana kuwa maraisi huenda wakaja kuambulia patupu! Ccm NI dude kubwa na mwenyekiti wa chama ana manguvu sana.

Nawatakia mapumziko mema
Andika vizuri mkuu ni Nchimbi sio nchimbi
 
1. Hizo hela ziliporejeshwa ziliwekwa kwenye account ipi na zikafanya kazi gani?
2. Alitolewa Simiyu kwa tuhuma za kushirikiana na waarabu kuuza wanyamapori

Lini Kafulila amewahi kupinga uuzwaji wa raslimali za nchi kwa waarabu? Kafulila huwa anapiga kelele kama yeye hilo dili hajanufaika nalo
Daaah ni kweli??
 
Back
Top Bottom