Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Na wewe ni classmate wake?Maana huwa anatutambulisha classmates wake wote wakiwa marehemu/maliyemu.Hii sijakusoma kabisa classmate..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe ni classmate wake?Maana huwa anatutambulisha classmates wake wote wakiwa marehemu/maliyemu.Hii sijakusoma kabisa classmate..
He's at large!Katoroka.Hivi wameku discharge tayari kule MNH?
Homeboy vp? bado sana tupo 2024 mwishoni mwishoni hatujafika na wengi wetu hatutakuwepo hiyo 2097 uliyosema. Hebu fanya marekebisho kidogo hapo.Hiyo nafasi niliyo acha hapo juu ni kwaajili ya salam.
Twende kazi.....
Huo mwaka 2097 nina rafiki kwa jina la James.
Jame miaka hiyo ameajiriwa kwenye moja ya hotel zilizo bamba pale jijini Mwanza kwa jina la I.. Hotel.
Nimeenda kumtembelea James kwa kazi yake kama tulivyo kubaliana jana yake mazee....
Sasa, nikiwa nimetulia eneo la mapumziko juu ya ghorofa nakula pilsner baridiiii... mara namuona Henry, Henry ni mkubwa wetu kidogo miaka ile lakini alikua bro mmoja asie na baya....
Henry akaniita kama dogo then kwa heshma ya bro, nikanyenyuka na kuelekea upende wake.
Niliendelea kumfuata Henry hadi ghorofa ya jengo la chini na kisha nikaingia kwenye chumba kilichokua na makaka wakubwa walio jaa miili na wamevaa makoti.
Kisha Henry akawatambulisha wakaka wale kama mimi ni mdogo wake na kisha wakapunguza shaka.
Yule bro aliniambia nichukue begi la nguo chache nishuke nali chini kwenye sakafu ya mwisho kisha nitoke nalo getini nitampa mtu flani pale nje (alisema huyo mtu atanitambua).
Sasa mimi bila hiyana huyo.....
Nikashuka na begi bila wasi hadi getini na kisha nilipo jaribu kuangaza sikuona mtu pale, ghafla akatokea kichaa/mwehu kutoka upande wa pili wa road akaniambia hilo begi ni mali yake na alikua anasubiri James amletee....
Mara ghafla nikaskia pahhh.... milio ya risasi ili rindima na ghafla miili na damu zilitapakaa eneo lile la hotel.
Aiseee nilitoka mbio sijawahi kukimbia kama vile, yaani mapumziko nilikwenda kusimama kichochoro cha kuelekea makoroboi enzi hizo mwananchi hospital haijajengwa na pale pembeni ya police palikua ni jalalani..😂
Anyways.....
R.i.P James, na wale mabraza... kumbe walikua majambazi then huku kitaa tulikua tunawaona watu wa maana sana..😐
Nakazia hoja.Asiongeze bia nyingine
Nadhani mwenzetu anahitaji kupewa ED walau akapumzike kidogo manake ile bamiza ya gari kuna kitu hakijakaa vizuri.Mwaka 2097? Tumefika huko? Au bado una wenge?
Weee! Mtamuua sasa. Juzi kanusurika kwenye gari tena asb asbh. Sasa mnataka iwe ni kwenye kilaji?Aongeze tu.Huwa zinaongeza akili.
Ila njia hii sio poa kabisa.Njia za kuagana ni nyingi
Kweli Sahihi kabisa.Umenikumbusha Verse ya JCB
Ukiskia paa ujue imekukosa
Sema wote tuliomo humu sasa hivi hatutakuwapo hiyo 2097!Homeboy vp? bado sana tupo 2024 mwishoni mwishoni hatujafika na wengi wetu hatutakuwepo hiyo 2097 uliyosema. Hebu fanya marekebisho kidogo hapo.
Siyo bangi ni matumbaku ya taboraUshimen Tupa hiyo bangi fasta kabla haijaleta madhara makubwa zaidi
Jibu lipo kwenye picha ya Avatar yake.Hiyo 2097 ni kwa sababu hujamaliza dose mkuu....
Em subiri upone vizuri kwanza kipenzi... please
🤣🤣🤣Jibu lipo kwenye picha ya Avatar yake.
mwaka 2097! clasmet unazinguaHiyo nafasi niliyo acha hapo juu ni kwaajili ya salam.
Twende kazi.....
Huo mwaka 2097 nina rafiki kwa jina la James.
Jame miaka hiyo ameajiriwa kwenye moja ya hotel zilizo bamba pale jijini Mwanza kwa jina la I.. Hotel.
Nimeenda kumtembelea James kwa kazi yake kama tulivyo kubaliana jana yake mazee....
Sasa, nikiwa nimetulia eneo la mapumziko juu ya ghorofa nakula pilsner baridiiii... mara namuona Henry, Henry ni mkubwa wetu kidogo miaka ile lakini alikua bro mmoja asie na baya....
Henry akaniita kama dogo then kwa heshma ya bro, nikanyenyuka na kuelekea upende wake.
Niliendelea kumfuata Henry hadi ghorofa ya jengo la chini na kisha nikaingia kwenye chumba kilichokua na makaka wakubwa walio jaa miili na wamevaa makoti.
Kisha Henry akawatambulisha wakaka wale kama mimi ni mdogo wake na kisha wakapunguza shaka.
Yule bro aliniambia nichukue begi la nguo chache nishuke nali chini kwenye sakafu ya mwisho kisha nitoke nalo getini nitampa mtu flani pale nje (alisema huyo mtu atanitambua).
Sasa mimi bila hiyana huyo.....
Nikashuka na begi bila wasi hadi getini na kisha nilipo jaribu kuangaza sikuona mtu pale, ghafla akatokea kichaa/mwehu kutoka upande wa pili wa road akaniambia hilo begi ni mali yake na alikua anasubiri James amletee....
Mara ghafla nikaskia pahhh.... milio ya risasi ili rindima na ghafla miili na damu zilitapakaa eneo lile la hotel.
Aiseee nilitoka mbio sijawahi kukimbia kama vile, yaani mapumziko nilikwenda kusimama kichochoro cha kuelekea makoroboi enzi hizo mwananchi hospital haijajengwa na pale pembeni ya police palikua ni jalalani..😂
Anyways.....
R.i.P James, na wale mabraza... kumbe walikua majambazi then huku kitaa tulikua tunawaona watu wa maana sana..😐
Waw! Nimegundua kumbe homeboy aliandika mwaka kwa kutumia site mirror. Hapo mwisho inasomeka 97 kumbe ilitakiwa iwe 79. kwa hiyo ni mwaka 2079. Au sio homeboy?mwaka 2
mwaka 2097! clasmet unazingua