Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
Nitarudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa unaonekana unaskiliza sana stori za vijiweniKwa dar sikushaur hiyo hela hapa dar ni ndogo sana kama utategemea kuendesha maisha hapo hapo mana biasgara hadi kuja kukaa sawa si jambo dogo ilaa kama unataka kweli kuishi nayo nenda mkoa jirani nunua bajaji zako mbili used kwa m6 sita moja zungusha mwenyewe moja mpe mtu every day ukilaza kima cha chini elfu30 kwa zote sio, au kama unawazo la kutengeza pesa ndefu kwa m10 tu njoo pm nikupe dili za ndani ndan za hapa dar we ndani ya miez sita una mark m300 kwahy hy m_teni yako ila ni dili zinazoitaji mtu ambae amepania kutafuta pesa za kutosha kama huwez ngoja washaur wengine wanakuja kukufundisha kuuza ndala, soksi vitu vya kike kike, chupichupi hizi mwisho tra wanadai hujakata lesen ya biashara, kinachofuata wanakufilis unarud kijijin kutafuta tena mtaji chezea biashara ila kwa mim hiyo m20 nipesa ya kula bia nimeikawiza sana siku 5 hapo nimekula kwa bajeti coz ninajua kutafuta pesa na kutumia nikiripoti kutoka gheto ni mim mr pipa nasubiri ajira
Fala kweli huyu aisee!Kwa dar sikushaur hiyo hela hapa dar ni ndogo sana kama utategemea kuendesha maisha hapo hapo mana biasgara hadi kuja kukaa sawa si jambo dogo ilaa kama unataka kweli kuishi nayo nenda mkoa jirani nunua bajaji zako mbili used kwa m6 sita moja zungusha mwenyewe moja mpe mtu every day ukilaza kima cha chini elfu30 kwa zote sio, au kama unawazo la kutengeza pesa ndefu kwa m10 tu njoo pm nikupe dili za ndani ndan za hapa dar we ndani ya miez sita una mark m300 kwahy hy m_teni yako ila ni dili zinazoitaji mtu ambae amepania kutafuta pesa za kutosha kama huwez ngoja washaur wengine wanakuja kukufundisha kuuza ndala, soksi vitu vya kike kike, chupichupi hizi mwisho tra wanadai hujakata lesen ya biashara, kinachofuata wanakufilis unarud kijijin kutafuta tena mtaji chezea biashara ila kwa mim hiyo m20 nipesa ya kula bia nimeikawiza sana siku 5 hapo nimekula kwa bajeti coz ninajua kutafuta pesa na kutumia nikiripoti kutoka gheto ni mim mr pipa nasubiri ajira
We jamaa bonge la kiaziKwa dar sikushaur hiyo hela hapa dar ni ndogo sana kama utategemea kuendesha maisha hapo hapo mana biasgara hadi kuja kukaa sawa si jambo dogo ilaa kama unataka kweli kuishi nayo nenda mkoa jirani nunua bajaji zako mbili used kwa m6 sita moja zungusha mwenyewe moja mpe mtu every day ukilaza kima cha chini elfu30 kwa zote sio, au kama unawazo la kutengeza pesa ndefu kwa m10 tu njoo pm nikupe dili za ndani ndan za hapa dar we ndani ya miez sita una mark m300 kwahy hy m_teni yako ila ni dili zinazoitaji mtu ambae amepania kutafuta pesa za kutosha kama huwez ngoja washaur wengine wanakuja kukufundisha kuuza ndala, soksi vitu vya kike kike, chupichupi hizi mwisho tra wanadai hujakata lesen ya biashara, kinachofuata wanakufilis unarud kijijin kutafuta tena mtaji chezea biashara ila kwa mim hiyo m20 nipesa ya kula bia nimeikawiza sana siku 5 hapo nimekula kwa bajeti coz ninajua kutafuta pesa na kutumia nikiripoti kutoka gheto ni mim mr pipa nasubiri ajira
kinachofanya utamke maneno haya ni kipiWe jamaa unaonekana unaskiliza sana stori za vijiweni
Na zimekuharibu
we bwana bonge la churaaa haiwezekan uniambie mi kiazi mi ni mtu mzima bhana niheshimuWe jamaa bonge la kiazi
Kwasababu unachoandika hawezi kuandika mtu mwenye uzoefu na biashara na aliewahi kushika angalau tu million 10kinachofanya utamke maneno haya ni kipi
ungesema hv broo nipe mbinu unazalisha vp m10 iwe m300 kwa miez sitaKwasababu unachoandika hawezi kuandika mtu mwenye uzoefu na biashara na aliewahi kushika angalau tu million 10
Siwezi kukuuliza maana ni ndoto za abunuwasungesema hv broo nipe mbinu unazalisha vp m10 iwe m300 kwa miez sita
na kweli ya urithi ingekuwa ya hustle sizan kama angeuliza swal hiliUrithi huo ukiharibu kimekulamba,ngoja wanaokaa jijini waje