20M inatosha kuhamia Dar kuanza Maisha na Biashara?

20M inatosha kuhamia Dar kuanza Maisha na Biashara?

Naomba ushauri ulio serious, hili jambo ni serious, sio Drama.

Ichukulie kama ni wewe.
Unauhakika wa kupata 20M cash,
Kwa ufupi ni kufanya maamuzi tu ila unasubiriwa wewe tuu.

Una vyombo na kitanda tuu,
Kwa ufupi, ni vitu vya kukufanya upike na ulale...

Risk ni kwamba ukichukua umechukua hakuna cha kukubakiza hapo tena maana hio ndio inakuweka hapo.

Kwahio ni either ubaki uendelee kwa kutengemea uwekezaji wa hio 20M Ukupe 600k kwa mwezi au uondoke ukaanze hata chini ya hapo ila unaona mwanga.

Kwa nini unawza kuondoka?
Mambo yamezidi kua magumu,
Hakuna option nyingine ya kujiongezea kipato zaidi ya hio.

Kwa nini Dar, Dar una uzoefu uliishi kwa mda mrefu ukapata fursa ndio ukaondoka, kutafta mtaji, sasa unataka urudi ila katika mfumo mpya.

20M unaazaje maisha na kutoboa kibiashara?
Kuhusu upambanaji ni mzoefu
Mishen town unauzoefu nazo.

Usiseme mbona kuna watu wanaenda Dar hata nauli ni ya kuunga na wanaishi, Huyo hana cha kupoteza last options kwake ni hio, ila huyu anachakupoteza kama atabugi maana tayari ana options, pili haendi kutafuta maisha, anaenda kuboost maisha, baada ya kuona anachelewa.

Nitashukuru sana ukitoa ushauri Wa kujenga.
Sina la kushauri kwenye nini cha kufanya ila usipuuzie uzoefu pamoja na nidhamu ya pesa.
 
Chukua 10M weka UTT sahau kama una hela huko then 10 inayobaki kwakua lengo lako ni kwenda Dar nenda kufungue ofisi ya miamala kwa mtaji wa 5M kaa mwenyewe, halafu tafuta bajaj used ya 4M iwe inakuletea hela kila siku wakati unaendelea kujitafakari.
 
Usije na vistory vyako eti vunjabei alipambana kupata nauli ya kuja dar tu

Mpumbafff kabisaa wadanganye bodaboda wenzio hapo
Endelea na stress zako mwenzako anapiga maisha. Maskini siku zote zake stori. " Yule si Bure. Utajiri hauji hivi hivi...! Ni freemason. Kabebwa na babaake!" Wewe babaako alikuwwa wapi kukubeba? Pumbavu!!
 
Naomba ushauri ulio serious, hili jambo ni serious, sio Drama.

Ichukulie kama ni wewe.
Unauhakika wa kupata 20M cash,
Kwa ufupi ni kufanya maamuzi tu ila unasubiriwa wewe tuu.

Una vyombo na kitanda tuu,
Kwa ufupi, ni vitu vya kukufanya upike na ulale...

Risk ni kwamba ukichukua umechukua hakuna cha kukubakiza hapo tena maana hio ndio inakuweka hapo.

Kwahio ni either ubaki uendelee kwa kutengemea uwekezaji wa hio 20M Ukupe 600k kwa mwezi au uondoke ukaanze hata chini ya hapo ila unaona mwanga.

Kwa nini unawza kuondoka?
Mambo yamezidi kua magumu,
Hakuna option nyingine ya kujiongezea kipato zaidi ya hio.

Kwa nini Dar, Dar una uzoefu uliishi kwa mda mrefu ukapata fursa ndio ukaondoka, kutafta mtaji, sasa unataka urudi ila katika mfumo mpya.

20M unaazaje maisha na kutoboa kibiashara?
Kuhusu upambanaji ni mzoefu
Mishen town unauzoefu nazo.

Usiseme mbona kuna watu wanaenda Dar hata nauli ni ya kuunga na wanaishi, Huyo hana cha kupoteza last options kwake ni hio, ila huyu anachakupoteza kama atabugi maana tayari ana options, pili haendi kutafuta maisha, anaenda kuboost maisha, baada ya kuona anachelewa.

Nitashukuru sana ukitoa ushauri Wa kujenga.
Kama upo seriously nitafute hata DM 100% The rest will be history..
 
Kwa dar sikushaur hiyo hela hapa dar ni ndogo sana kama utategemea kuendesha maisha hapo hapo mana biasgara hadi kuja kukaa sawa si jambo dogo ilaa kama unataka kweli kuishi nayo nenda mkoa jirani nunua bajaji zako mbili used kwa m6 sita moja zungusha mwenyewe moja mpe mtu every day ukilaza kima cha chini elfu30 kwa zote sio, au kama unawazo la kutengeza pesa ndefu kwa m10 tu njoo pm nikupe dili za ndani ndan za hapa dar we ndani ya miez sita una mark m300 kwahy hy m_teni yako ila ni dili zinazoitaji mtu ambae amepania kutafuta pesa za kutosha kama huwez ngoja washaur wengine wanakuja kukufundisha kuuza ndala, soksi vitu vya kike kike, chupichupi hizi mwisho tra wanadai hujakata lesen ya biashara, kinachofuata wanakufilis unarud kijijin kutafuta tena mtaji chezea biashara ila kwa mim hiyo m20 nipesa ya kula bia nimeikawiza sana siku 5 hapo nimekula kwa bajeti coz ninajua kutafuta pesa na kutumia nikiripoti kutoka gheto ni mim mr pipa nasubiri ajira
Hili ni fungu la nyanya au comments?
 
Kwa dar sikushaur hiyo hela hapa dar ni ndogo sana kama utategemea kuendesha maisha hapo hapo mana biasgara hadi kuja kukaa sawa si jambo dogo ilaa kama unataka kweli kuishi nayo nenda mkoa jirani nunua bajaji zako mbili used kwa m6 sita moja zungusha mwenyewe moja mpe mtu every day ukilaza kima cha chini elfu30 kwa zote sio, au kama unawazo la kutengeza pesa ndefu kwa m10 tu njoo pm nikupe dili za ndani ndan za hapa dar we ndani ya miez sita una mark m300 kwahy hy m_teni yako ila ni dili zinazoitaji mtu ambae amepania kutafuta pesa za kutosha kama huwez ngoja washaur wengine wanakuja kukufundisha kuuza ndala, soksi vitu vya kike kike, chupichupi hizi mwisho tra wanadai hujakata lesen ya biashara, kinachofuata wanakufilis unarud kijijin kutafuta tena mtaji chezea biashara ila kwa mim hiyo m20 nipesa ya kula bia nimeikawiza sana siku 5 hapo nimekula kwa bajeti coz ninajua kutafuta pesa na kutumia nikiripoti kutoka gheto ni mim mr pipa nasubiri ajira
Eti mil 20 Dar ndogo… Dar imekua New York
 
Ukishakuwa na nidhamu ya kazi unatoboa.....
Uza mahitaji muhimu ya nyumbani duku la jumla milioni 15...
Sabuni jumla,
Soda jumla,
Mafuta kupikia jumla,
Viberiti jumla,
Maji jumla,
Biscuit na pipi jumla,
Unga wa ngano jumla,
Dawa za meno jumla,
Tomatoes na chili jumla,
Vyakula kama tambi, blueband, maziwa ya unga jumla,
Mambo ni mengi ila try to be a whole saler 10+ ni capital ya kuanza.

E.g location ya frem au duka iwe sehemu yenye usalama na penye wahitaji wengi.

Idea nyepesi na rahisi, tatizo la sisi watu mtu hata apate 1mil... kwa mwezi haridhizi
 
Ipi kati ya hizo unafanya?
Ngoja kwanza una familia...!? Yaani mke watoto n.k au upo single?

Kwanza, Kama una familia njoo Dar chukua chumba na sebule. Kama upo single chukua chumba kimoja hakikisha ni kina choo bafu ndani (master)

Pili, nenda sokoni Mabibo, kariakoo, jifunze biashara zifuatazo Viazi vya chipsi, Ndizi, vitunguu, miwa,machungwa n.k jifunze watu wanavyo fanya hizo biashara A-Z hakikisha unafahamu vyema kuhusu hizo biashara. Tumia muda wa kutosha kujifunza hata wiki 2 sawa tu.

Tatu, funga safari mpaka mkoa unao zalisha sana bidhaa moja wapo kati ya hizo ulizo jifunza nunua chukua fuso lako peleka sokoni anza kuuza bidhaa yako. Ukimaliza una rudi tena shamba hata kama kuna muda utapata hasara ila jua kwamba kila mwisho wa mwezi hauwezi kukosa faida ya 2/3 M's itategemea na soko mwezi husika limeendaje.

Angalizo usiweke mtaji wote kwenye biashara hii una weza kuanza hii biashara kwa 13M's huku bank account yako ikiwa na reserve ya 7M's. Mwombe Mungu sana azidi kukufungulia milango ya baraka, focus kwenye kazi yako mambo yasiyo ya muhimu kwako na kwa familia yako ya puuze. Baada ya mwaka usipo kuwa na faida ya 50/70 M's mmh sijuiiiiii.
 
Endelea na stress zako mwenzako anapiga maisha. Maskini siku zote zake stori. " Yule si Bure. Utajiri hauji hivi hivi...! Ni freemason. Kabebwa na babaake!" Wewe babaako alikuwwa wapi kukubeba? Pumbavu!!
Haya shule zimefungua rudi shuleni

Usije tena hapa mpaka mwezi wa sita
 
Back
Top Bottom