Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Landrover sio ya kipato kidogo
Land Rover hata kama una kipato kikubwa likibuma limebuma tu. Halitengenezeki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Landrover sio ya kipato kidogo
Madalali hawakupi hizi details ili wauze chomboLand Rover hata kama una kipato kikubwa likibuma limebuma tu. Halitengenezeki.
Naomba kufahamu Jina la Hiki Kitabu MKIBAIGWAUtanunua tu mkuu ilimradi hauplay safe na unaaminiView attachment 2842634
Hapana, 1HDT-FTE bei zake za kawaida sana hata ukinunua mkononi mwa mtu yani. Na hata ukinunua mkononi still unakua na uhakika wa reliability tofauti na mtu alieagiza disco. Mkononi kukutana na 100 series ya 25-35m zipo sana. Labda ukutane na dosari ndogo ndogo ambazo ukiweza kuzifix unakua uhakika wa safari popote na muda wowoteHamna gari mule. Discovery pamoja na kaka ake range rover ni uchafu mtupu.
Bora ujilipue na Land Cruiser 100 series 1HDT Fte japo bei zake zimesimama sana
Landcruiser, Kuagiza jiandae kukutana Jodi si chini ya 35m TZS (TRA)Hapana, 1HDT-FTE bei zake za kawaida sana hata ukinunua mkononi mwa mtu yani. Na hata ukinunua mkononi still unakua na uhakika wa reliability tofauti na mtu alieagiza disco. Mkononi kukutana na 100 series ya 25-35m zipo sana. Labda ukutane na dosari ndogo ndogo ambazo ukiweza kuzifix unakua uhakika wa safari popote na muda wowote
Naomba kufahamu Jina la Hiki Kitabu MKIBAIGWA
Kama una softcopy tunaomba ushee hapa pia kwa manufaa ya wengi
Kitabu gani Hilo mkuuUtanunua tu mkuu ilimradi hauplay safe na unaaminiView attachment 2842634
Change Your Thinking, Change Your Life
You are always so Generous Bro, Uje utuandalie Masterclass ya Namna ya Kununua Hisa za Nje
You are always so Generous Bro, Uje utuandalie Masterclass ya Namna ya Kununua Hisa za Nje
MKIBAIGWA nimemaliza hii nondo, please please naomba ushauri wa Kitabu Kingine cha Kusoma ??????????
Umesema?Hamna gari mule. Discovery pamoja na kaka ake range rover ni uchafu mtupu.
Bora ujilipue na Land Cruiser 100 series 1HDT Fte japo bei zake zimesimama sana
KumekuchaaaKaka kuna seheme naendaga kuosha gari,kila nikienda BMW zimeongezeka ,kuna gereji hapo.
Nakuunga mkono,yani kweli niache discovery 4 nikanunue Fortuner!kweli usichokijua ni kama usiku wa giza,Haya mambo ya akili mgando watanzania sijui yatatuisha lini,ombeni hata mwenye hiyo discovery akuonjeshe hata km 5 tu halafu tuone ukija humu utaongea nini...
Ndio hivyo.Umesema?