4 Fortuner VS Discovery 4 tuagize kutoka Africa ya Kusini au Singapore?

4 Fortuner VS Discovery 4 tuagize kutoka Africa ya Kusini au Singapore?

Nakuunga mkono,yani kweli niache discovery 4 nikanunue Fortuner!kweli usichokijua ni kama usiku wa giza,Haya mambo ya akili mgando watanzania sijui yatatuisha lini,ombeni hata mwenye hiyo discovery akuonjeshe hata km 5 tu halafu tuone ukija humu utaongea nini...
Kwa mtu anayejua magari hawezi kulinganisha discovery 4 na fortuner.
Fortuner amemuacha mbali sana kuanzia reliability, Durability, resale value nk.
Disco 4 imemzidi fortuner kwenye mbio na comfort tu. Gari ya mzungu ununue mpya pale cmc ila haya ya kuagiza kwa bwana Lukosi kila siku utashiia garage
 
Hajui utamu wa magari makubwa huyu hasa ya Uingereza....
Nakuunga mkono,yani kweli niache discovery 4 nikanunue Fortuner!kweli usichokijua ni kama usiku wa giza,Haya mambo ya akili mgando watanzania sijui yatatuisha lini,ombeni hata mwenye hiyo discovery akuonjeshe hata km 5 tu halafu tuone ukija humu utaongea nini...
Ya
 
Back
Top Bottom