FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
- Thread starter
- #241
naskia geoff atakua rg leo... natamani ningekua dar aisee
niko Dar mbona siitwi kuna mchango?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naskia geoff atakua rg leo... natamani ningekua dar aisee
Angalia kwenye inbox yako. NimekuPM............:tonguez::tonguez::tonguez:
naskia geoff atakua rg leo... natamani ningekua dar aisee
Nimemuuliza mtu akanambia yeye atamkiss na kumwambia I love u ,eti next tym jamaa hatarudia kufanya hivyo na kujiuliza kwa nini nimewasha kibao akanambia i love u
Katibu likizo imeshaisha?Ukumbuke kuilete kwenye kumbukumbu zetu....
muulize mama yako
Angalia kwenye inbox yako. NimekuPM............:tonguez::tonguez::tonguez:
Hapa tuna-swing katika frekuensi moja kaka. Nakukubali sana kwenye suala zima la mahusianoFL1,
Nimepata wasi wasi sana na michango ya wadau. Labda uombe mod watuwekee kura ya maoni ili tupige kura, tuweze kujua ni wangapi walishawai kulabua au kulabuliwa.
Halafu kumetokea mkanganyiko kati ya kulabu kibao kimoja au viwili, na kile kipigo cha mbwa mwizi.
Naungana na Funzadume, Fidel et al. kwamba kujikuta umerusha mkono mara moja au mbili kwa wale ambao tuko kwenye hizi biashara kwa zaidi ya miaka 10 siyo ajabu kabisa. Jamani acheni utani na maneno ya dada zatu hawa. Tunawapenda sana ila naona Mungu alifanya miscalculation kwenye upande wa kurusha maneno!
Ngoja niishie hapa kwanza.
Naona wadada wote wa JF ni wabarikiwa,... hawajawahi kulambwa kibao hata mara moja. Mshukuruni Mungu sana.
DC
😛arty:😛arty::dance::dance::drum::drum::rockon::rockon:
kwa nini anipige kofi wkt kila siku anasema ananipenda,lazima nilie sana kwa uchungu.
i will tell him "if that gives u a relief its ok wit me"Utalia?
Utamrudishia?
Utamkiss ?
Utamwambia i love u
Hutaongea nae 1 day , 1week ,month or a year,
Utaachana nae /:couch2:
have great weekend !
NB: nauliza tu..... Wanaume mnaruhusiwa kuweka maoni yenu
Katibu likizo imeshaisha?
:hand::hand:
i will tell him "if that gives u a relief its ok wit me"
naisubiri kwa hamu na bashasha zote.
Hapa tuna-swing katika frekuensi moja kaka. Nakukubali sana kwenye suala zima la mahusiano
Umeisubiri kwa vitendo? mbona hujaitendea haki sasa?
:bathbaby::bathbaby::bathbaby::A S-rose::kiss::kiss::kiss:
Pokea basi :A S 100: au umeiacha kwenye :car:?hapa barazani siwezi kwenda deep sana, turudi kule ndani nitakueleza vizuri.
:A S 465::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::A S-rose::ranger::A S-rose::kiss::kiss::kiss: