50 People Who Are Screwing Up Tanzania

Status
Not open for further replies.
Yaani tanzania ukishakuwa kiongozi tu tena ukiwa ccm ndio balaa wewe fisadi na majina yote mabaya ukiwa chadema wewe ni mzalendo mpigania haki ya wanyonge jemedari

Sitaki kuamini ilo kuwa ama watu wazuri CCM au watu wabaya CHADEMA.Ila ukweli i kwamba ukiwa FISADI huwezi kuwa upinzani ukasurvive ata kwa sekunde moja.
 
Wafanyakazi wa Serikali wengi sanaaaaa they are screwing our Country in different ways.
 

Hii nimeipenda, post nilizosoma hapa zimejaa ushabiki na majungu..Mtumishi na wewe unaweza kuingia katika hiyo list kama utakua unawataja watu bila vigezo (screwing people here)
 
Hawa jamaa wamesaliti dhamira yao, wamewasaliti watu wao, wamekisaliti chama chao, wameisaliti serikali na wameisaliti nchi yao. Ingekuwa China adhabu yao ni kitanzi tu au shaba.
 
mkuu wa tume ya uchaguzi, Mkurugenzi mkuu wa makosa ya jinai,
Jaji mkuu ( kwa maana ya kuruhusu hukumu za kijinga kijinga kupitishwa hapo )
Adam Kimbisa
 
mkuu wa tume ya uchaguzi, Mkurugenzi mkuu wa makosa ya jinai,
Jaji mkuu ( kwa maana ya kuruhusu hukumu za kijinga kijinga kupitishwa hapo )
Adam Kimbisa

hiyo list inaweza kuendelea na kuendelea kuna wengi sana hawana uchungu na nchi hii...
 
sijamuona feleshi mzee wa kukataa kushtaki watu uyu director of public prosecution, i am not sure about shigongo, i think he just own a media company, whats wrong has he done?
 

Katika hao wangapi wako jela? na kama mahakama haijasema ni guilty unaanzia kusema hivi kwa vigezo vipi? wananchi wakiwachagua mmoja ya hao watu, je mtaandika list ya jimbo zima la uchaguzi?
 
50. A. Kweka - Project Manager Twin Tower BOT
51. D. Balali - ex governor BOT
 
Nakubaliana na hiyo list.

hao ndiyo wa kufanyiwa kazi kaka na serekali mpya.
 
Well, nimewaweka "watanzania" kwa ujumla wao kuwa ndicho chanzo nambari moja cha matatizo ya taifa letu

I beg to defer we can not be all in the leadership. Tumekasimu madaraka yetu ambao wanatusaliti. Upenyo huu wa uchaguzi ndiyo wakati wetu wa kuwaambia wametusaliti imetosha tushike fagio la chum????
 
Uki calculate jumla ya pesa na asset zao hawa jamaa wote unaweza kuwalisha, kuwatibu, kuwajengea nyumba bora za kawaida na kuwalipia ada watanzania wote nchi nzima kwa Mwaka mzima na chenji wakabakiza. harafu eti mnasema nchi hii maskini -subutuu. Hivi kweli nchi ingekuwa maskini RA na Kina patel mngewaona bongo hii?.
 
Naona uniweke na mimi kwa niaba ya watanzania wote ambao bado wanaendelea kuwaweka madarakani hao top 50
 
Wakuu, hii ingenoga kila mtu akawekewa link ya madhambi yake na wengi wao wana topic humu JF! Lakini pia kwa wanaojua ambayo hayajadiliwa sambamba na utetezi wabandike humu ili kuwatendea haki, kwa maana muovu ahukumiwe na msafi asafishwe.
 
Mtumisha Hii list is not balanced; Gender Balance? am sure there are women in this country who are as screwy as those men in the list. These look like the ones who have been in the news. ila wapo wanawake who shd be here. who is the Tanzanian version of Grace Mugabe/ Winnie Mandela?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…