List inaendelea, CCM, UWT(Usalama......)
Mbona jamaa wa Usalama wa Taifa hawamo nao walikula sana hela za EPA?
Teh Teh Teh......
Nadhani badala ya Taasisi ni vema tuka-focus kwenye viongozi wa taasisi hizo,ndio maana huko ATC tunawataja Mattaka na Nyang'anyi na sio ATC...
Anyway,mie nawaongeza hawa:
PAPAA MSOFE (From kuuza unga,noti bandia,udhamini feki mahakamani...nafasi haitoshi hapa kutaja uhalifu wake wote)
BALHABOO (Sijui ndio inaandikwa hivyo,ila namaanisha BALABUU yule fisadi wa biashara ya mafuta na ngono)
MASTER T (Taji Liundi.Huyu sio fisadi wa kiuchumi bali ngono.Ni acitivist mkubwa ktk vita dhidi ya ukimwi lakini ni kiwembe numero uno...ask wanaojua CV yake PSI,Times FM)
DUNSTAN TIDO MHANDO (Ungetegemea mtu aliyekaa BBC miaka lukuki angeweza kui-transform TBC,lakini anahangaikia mkono wake uende kinywani.Huyu ni fisadi wa Habari).
SALVA RWEYEMAMU (Huyu sihitaji kutoa maelezo juu yake ila kwa kifupi anaweza hata kuuza roho ya mzazi wake if the price is right)
DEODATUS BALILE (A junior version of SALVA)
MuHINGO RWEYEMAMU (same surname as SALVA,same ufisadi-prone as SALVA)
PRINCE BAGENDA
DR ABDALLAH KIGODA
PROF JUMA KAPUYA
PRO MAHALU
PROF MWANDOSYA (Screwed us kwenye sekta ya mawasiliano despite his outstanding academic credentials)
to be continued
INVISIBLE....Hii topic inaweza kuzalisha kitabu pindi itapofika mahala pa kuhitimishwa.I would suggest kwamba ifike mahali ikubaliwe (ikibidi kwa kura za maoni ya wana-JF) nani na nani hasa wanastahili kuwamo kwenye orodha hiyo,na kama idadi inazidi kuongezeka basi hakuna ubaya wa kuibadili mada na kuwa watu 100,150,etc walio/wanao-iscrew nchi yetu..
Na kwa kusaidia,tunaweza kuwagawa hawa wahalifu ktk makundi,kwa mfano SIASA/UONGOZI,WAFANYABIASHARA,WANAHABARI,WAHALIFU WASIOGUSIKA (The Untouchables) eg Msofe,WAHARIBIFU WA MAADILI eg Shigongo na Abdallah Mrisho,WAZINZI (this could be debatable),nk nk