50 People Who Are Screwing Up Tanzania

50 People Who Are Screwing Up Tanzania

Status
Not open for further replies.
nearly 90% ya wabunge wa CCM hawatakiwi kurudi, kwa hiyo Chama Chao kwanza watusaidie kwa Hilo, then watakao penya wananchi wawashugulikie, hususana wale waliokwisha kama zaidi ya vipindi viwili vya ubunge, maana Hata Seleli, na Makele yake hamna kitu mwisho wa Siku naunga Mkono.

Mzindakaya je? Kapuya je?
 
Mimi ningeiorodhesha kwa makundi makubwa yafuatayo:
1. Viongozi wote wa CCM ukimwondoa MWALIMU na SOKOINE;
2. Viongozi wote SERIKALI ya CCM;
3. Viongozi wote wa TAASISI za UMMA tangu UHURU;
4. Wafanyabiashara wakubwa wote wa NCHI hii ambao hakuna hata mmoja anayeweza kukueleza utajiri wake kaupataje.
 
kuna hawa watu wanatuchanganya vichwa kila kukicha:
Mrema, Mtikila, Mbatia, Lipumba wako wengi mapandikizi
sio wa kuwaachia
 
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Andrew Chenge
  4. Idris Rashid,
  5. Nazir Karamagi,
  6. Gray Mgonja,
  7. Basil Mramba,
  8. Daniel Yona,
  9. Peter Noni,
  10. Nimrod Mkono,
  11. Subash Patel
  12. Benjamin William Mkapa
  13. Yusuf Manji
  14. Anna Mkapa
  15. Jakaya Mrisho Kikwete
  16. Vincent Mrisho
  17. Frederick Sumaye
  18. Omari Mahita
  19. Jeetu Patel
  20. Sir Andy Chande
  21. Amatus Liyumba
  22. Emmanuel Nchimbi
  23. Shailesh Vithlani
  24. Tanil Somaiya
  25. Eric Shigongo
  26. Patrick Rutabanzibwa
  27. Felix Mrema (Arusha)
  28. Laurence Masha
  29. David Mattaka
  30. Kingunge Ngombare Mwiru
  31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
  32. Malegesi Advocates
  33. Ringo Advocates
  34. Cleopa David Msuya
  35. Prof. Mkandara (UDSM)
  36. Maria Kejo
  37. Apson Mwang'onda
  38. Ferdinand Ruhinda
  39. George Lauwo (TRA Customs)
  40. Cpt. John Chiligati
  41. Costa Mahalu
  42. James Sinclair
  43. Pius Msekwa
  44. Alex Massawe
  45. Zakhia Meghji
  46. Joseph Mungai
  47. Abdallah Kigoda
  48. Yusufu Makamba
    [*][/COLOR=Blue] Mataka-------ATCL-----ANASTAHILI KUNYONGWA

Tuendeleze list


Mataka---------ATCL, Huyu jamaa wa kupiga risasi
 
Number one in order of gravity should be Jakaya Mrisho Kikwete
I agree ten fold. How can he not be on this list. With his extravagant trips and lack of action towards the corrupt. He is corrupt.😕
 
Hii list inaweza ikawa na ill-motives. Mtu anaweza kutaja apendavyo ilimradi jina fulani analifahamu au ni maarufu. Ili kuwa objective unavyomtaja mtu, weka angalu dokezo la tatizo lake na liwe na nguve au maana, isiwe maneno ya udaka kama ya magazeti ya...
 
Katika hiyo List waongezwe
1. Kingunge Ngombale Mwiru( Mrs Kingunge / Kinjekitile)
2. Ramadhani Dau
3. Mustafa Mkulo
 
Ole wao siku yao yaja hakika watalia na kusaga meno! hayati Mwalimu Nyerere aliwahi kuwaonya viongozi juu ya kutenda mabaya kwa wananchi akiwaambia kuwa siku tukifa wajukuu zetu watacheza na kukojoa juu ya makaburi yetu! maana hawatakuwa na la kujivunia juu yetu! na kwa hii orodha hakika hakuna hata chembe ya kujivunia!
 
duh hii list ni very interesting, lakini naamini wapo zaidi ya 50, kwahiyo wasemwe tu na tuanze kuwapanga kwa ranks, ni muhimu sana kuwapanga kwa order maalum, kumuweka mkapa kule chini sio halali...Mkapa, RA,EL,JK.....

na pia lazima tujue kwamba hii list sio ya wanasiasa tu, ni watu wanaofanya nchi na wananchi haviendelei....naungana na mjumbe kama wakiwa wengi tuweke categories..politics, Social,...
 
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Andrew Chenge
  4. Idris Rashid,
  5. Nazir Karamagi,
  6. Gray Mgonja,
  7. Basil Mramba,
  8. Daniel Yona,
  9. Peter Noni,
  10. Nimrod Mkono,
  11. Subash Patel
  12. Benjamin William Mkapa
  13. Yusuf Manji
  14. Anna Mkapa
  15. Jakaya Mrisho Kikwete
  16. Vincent Mrisho
  17. Frederick Sumaye
  18. Omari Mahita
  19. Jeetu Patel
  20. Sir Andy Chande
  21. Amatus Liyumba
  22. Emmanuel Nchimbi
  23. Shailesh Vithlani
  24. Tanil Somaiya
  25. Eric Shigongo
  26. Patrick Rutabanzibwa
  27. Felix Mrema (Arusha)
  28. Laurence Masha
  29. David Mattaka
  30. Kingunge Ngombare Mwiru
  31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
  32. Malegesi Advocates
  33. Ringo Advocates
  34. Cleopa David Msuya
  35. Prof. Mkandara (UDSM)
  36. Maria Kejo
  37. Apson Mwang'onda
  38. Ferdinand Ruhinda
  39. George Lauwo (TRA Customs)
  40. Cpt. John Chiligati
  41. Costa Mahalu
  42. James Sinclair
  43. Pius Msekwa
  44. Alex Massawe
  45. Zakhia Meghji
  46. Joseph Mungai
  47. Abdallah Kigoda
  48. Yusufu Makamba
  49. Johnson Lukaza
Tuendeleze list

Wengine ongezeni list
 
Nashangaa kwenye hii listi haonekani Chrisant Majiyatanga Mzindakaya, fisadi mkubwa - wengi ni wanafunzi wake kwenye Chuo Cha Mafisadi. Hawa utawatambua kirahisi kwa jinsi wanavyopigia kelele uozo huku wamezama kwenye uozo hasa bungeni - wakilambishwa peremende, kimyaaa..........
 
Mi naona sisi Watz ndio no:1 kwa kuwa tunaendelea kuchagua ccm ambayo mfumo wa uongozi wote ulishakufa hakuna hatapatikana mwadilifu yeyote ndani ya chama hiki kikongwe na goigoi anayeweza kumwajibisha mwenzake,hata hivyo huwezi kuwaweka Rostamu Aziz na Edward Lowasa alafu asiwemo Jakaya Kikwete maana hawawezi kufanya biashara yoyote bila kumshirikisha, JK is no:2.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom